Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Hahaha that's y
Weupe sana hao kwangu
Nimewaguruga matokeo ya mok kanda na kimkoa kama sina akil nzuri
Jeuri waipele lyamungo au old moshi
Hahahahah
Dada labda hawa watu ni watani zako.
Pia nikushauri usipende kumbeza usiyemjua, usidanganywe na posts za jf.
Humu waweza bishana na Waziri wako, boss wako na hata rafiki yako kipenzi lkn kwa Id fake na usimtambue.
Nijuavyo mimi kwa utafiti wangu wa uhakika;
Sky Eclat ni Mtanga lkn mwenye maisha yake na kazi yake tena nje ya Mipaka, hiyo pekee inatosha kuonyesha ni mpambanaji, nachelea kukuunga mkono kuwa atakuwa mweupe kichwani.
Kuna mdau mmetoka kuvutana hapo juu, nijuavyo mimi naye ana Elimu yake sio haba, japo ni Mtanga kweli na kujirusha huenda kweli anapenda kama alivyokiri mwenyewe.
Huwa napenda tuheshimiane wote.
IKIWEZEKANA tuepuke maneno ya kuudhi.
huu ni mtazamo wangu sikujui, siwajui lkn wote ni binadamu Wtz pia
 
Dada labda hawa watu ni watani zako.
Pia nikushauri usipende kumbeza usiyemjua, usidsnganywe na posts za jf.
Humu waweza bishana na Waziri wako, boss wako na hata rafiki yako kipenzi lkn kwa Id fake na usimtambue.
Nijuavyo mimi kwa utafiti wangu wa uhakika;
Sky Eclat ni Mtanga lkn mwenye maisha yake na kazi yake tena nje ya Mipaka, hiyo pekee inatosha kuonyesha ni mpambanaji, nachelea kukuunga mkono kuwa atakuwa mweupe kichwani.
Kuna mdau mmetoka kuvutana hapo juu, nijuavyo mimi naye ana Elimu yake sio haba, japo ni Mtanga kweli na kujirusha huenda kweli anapenda kama alivyokiri mwenyewe.
Huwa napenda tuheshimiane wote.
IKIWEZEKANA tuepuke maneno ya kuudhi.
huu ni mtazamo wangu sikujui, siwajui lkn wote ni binadamu Wtz pia
Jamen toka nimeanza uzi huu sijambeza mtu
Nimelelewa kuheshimu kila mtu
Nimekulia kanisan,kristu mfalme pale
Ameanza mwenyewe,nami nikajibu
Kama nadanganya fatilia trend ya posts zangu
Tatizo anataka umaarufu,nimempa
Sie wengine dk 3 mbele, ukizengua tunakupa hatucheleweshi
Am also someone somewhere
Huu uzi kama nilivyouleta ilikuwa katika kukumbushana ya utoton
Sijakulia uswahil mie
Kwangu yes is yes;and no is no hivoo yani
 
Jamen toka nimeanza uzi huu sijambeza mtu
Nimelelewa kuheshimu kila mtu
Nimekulia kanisan,kristu mfalme pale
Ameanza mwenyewe,nami nikajibu
Kama nadanganya fatilia trend ya posts zangu
Tatizo anataka umaarufu,nimempa
Sie wengine dk 3 mbele, ukizengua tunakupa hatucheleweshi
Am also someone somewhere
Huu uzi kama nilivyouleta ilikuwa katika kukumbushana ya utoton
Sijakulia uswahil mie
Kwangu yes is yes;and no is no hivoo yani
Ninachojua unahitaji sentensi hii kama ya Yesu "watu huninenaje"
kuna aina flani ya vijimisemo vina viashiria vya dharau (huenda hujijui)
ndio maana nimetanguliza hilo swali la Yesu kwa wanafunzi wake, unajua alitakaje?
Alitaka kupata ushuhuda kuwa watu wanamwelewaje kwa;
- usemi
- matendo
-na maisha kwa ujumla
unaweza kujiona umekamilika sababu tu una Elimu nzuri, mali nk
lkn watu wanakuelewaje?

Angalia haya;
Timu fafafa
Umesema Weruweru wote hawakuwa saizi yako na ukachomokea neno flani..rudia kusoma pale?

Je? umejiuliza
Hawa timu fafafa watajisikiaje?
hivi wanavyoandika ndivyo walivyo?
wengine komediani but wana maisha yao?

Sky Eclat wajua kasoma mwaka gani pale Weruweru?
Nikushauri kitu, unaweza kuwa na PHD but ukishindwa kuwa ma ULIMI wenye munyu na kuvutia hadhira/ jamii inayokuzunguka hujaelimika.
Ukiwa na mali ukakosa mvuto na heshima kwa jamii si chochote.
 
Kuna huyu member KingY , keshasema vya kutosha kwa maoni yangu. You guys back and forth was somewhat entertaining. Wote mko vizuri sana kwa vijembe, but then again, the topic is not all of that.
Hahaha umefulahiii
Ahhh alinigusa nyuzi flan nikafyatuka ghafla
Anyway am really sorry to her and all
Ila moshi ilikuwa tamu jamen lol
 
Back
Top Bottom