Matajiri wa Dar es salaam vs Arusha

Matajiri wa Dar es salaam vs Arusha

Huwezi linganisha miaka 39 ya Nyaga au Sambeke kwa Mkono 89 Funguka hawa watoto wamepata kwa akili yao si ya kushikiliwa na wazazi na angalia Miaka na ujue kuna kuzeeka pambanisha na kina Mosha au Riz 1 ambao nao wamerithi


soma post #67 kwenye uzi huu....!
 
c.t.u unamjua mbongo mwenye share pale mwadui,jamaa anaitwa phantom ni mhindi si mchezo,kuna jamaa mmoja nampata alikuwa anapiga deals za pamba contract zina faida ya 4-15 billion na alikuwa mtu wa kawaida kwa wale majogoo wenyewe sema alisha pass away,,r.i.p my bro m****ye,,,
alafu 2008 kuna mnyatuzu mmoja wa bariadi alioa binti wa std 7 kwa ng'ombe 200 walitolewa live na hii kesi ilivuma sana sema jamaa aliizimisha,,,,
shinyanga pana pesa ka unafanya risky deals,,

Dogo acha uongo hujui chochote hakuna hata mtanzania mmoja mwenye share kwenye mgodi wa Mwadui, serikali ndiyo ina share kidogo sana.

Sehemu kubwa ya mgodi wa Mwadui unamilikiwa na De beers.

Phantom kwanza sio muhindi na waarabu wanafanya biashara za almasi Shinyanga na Maganzo.
 
tatizo ni uhalali wa utajiri wetu,ukitaka kujua matajiri nenda TRA
 
Tatizo la vijana wa Arusha wakipewa bia na nyama choma tu wanawaita watu bilionea. Labda niulize Arusha kuna matajiri wa ngapi wenye viwanda.

Nitajie Tajiri mmoja tu mwenye kiwanda Dar kilichopata kutembelewa na rais wa USA na mimi nitakutajia mmoja wa Arusha
 
Hili ni janga la kitaifa. Nadhani kwa kweli tunapaswa kujitambua kisha kuchukua hatua maana kwa hii mada tu unatambua ukanda umeanza kujitokeza pili sioni sababu ya kuanzisha sijui nani tajiri nani masikini so what???????????/
 
Shaloom!

c.t.u unamjua mbongo mwenye share pale mwadui,jamaa anaitwa phantom ni mhindi si mchezo,kuna jamaa mmoja nampata alikuwa anapiga deals za pamba contract zina faida ya 4-15 billion na alikuwa mtu wa kawaida kwa wale majogoo wenyewe sema alisha pass away,,r.i.p my bro m****ye,,,
alafu 2008 kuna mnyatuzu mmoja wa bariadi alioa binti wa std 7 kwa ng'ombe 200 walitolewa live na hii kesi ilivuma sana sema jamaa aliizimisha,,,,
shinyanga pana pesa ka unafanya risky deals,,
 
Dogo acha uongo hujui chochote hakuna hata mtanzania mmoja mwenye share kwenye mgodi wa Mwadui, serikali ndiyo ina share kidogo sana.

Sehemu kubwa ya mgodi wa Mwadui unamilikiwa na De beers.

Phantom kwanza sio muhindi na waarabu wanafanya biashara za almasi Shinyanga na Maganzo.

hahahahaha,,,de beers washauza huo mgodi mwaka 2010 kwa taarifa yako under their co. Williamson,,,na phantom ana sehemu hapo
 
Nitajie Tajiri mmoja tu mwenye kiwanda Dar kilichopata kutembelewa na rais wa USA na mimi nitakutajia mmoja wa Arusha

Kiwanda mpaka kitembelewe na rais wa USA? Dar kuna vingi sana kuliko mikoa yote au unataka kunitajia kiwanda na Net.
 
Kiwanda mpaka kitembelewe na rais wa USA? Dar kuna vingi sana kuliko mikoa yote au unataka kunitajia kiwanda na Net.


Hhahhahahha poor u mna viwanda vya maji ya viroba ndio mnasema mna viwanda? Kama unadhani kutembelewa na rais wa USA kwenye kiwanda ni kitu chepesi hebu mwalike Obama basi aje kwenye kiwanda chako
 
Hao wote tisa Kumi ni Bujibuji anahela balaa huyu jamaa
 
hahahahaha,,,de beers washauza huo mgodi mwaka 2010 kwa taarifa yako under their co. Williamson,,,na phantom ana sehemu hapo

Unacheka nini sasa wakati hujui ngoja nikufahamishe.

Wamiliki wa huo mgodi ni serikali ya Tanzania wana hisa 25% na Petra diamonds ambao ni hao hao De beers wana 75%.

Haya tutajie hisa za phantom.
 
Nitajie Tajiri mmoja tu mwenye kiwanda Dar kilichopata kutembelewa na rais wa USA na mimi nitakutajia mmoja wa Arusha

How old are you now?

ulikuwa una miaka mingapi GWB alivyokuja Bongo last time

ulikuwa unaijua ajenda ya GWB kuja Tanzania??

ukinijibu haya maswali ndio nitakujibu swali lako

mtafute
mtu anayeitwa joka kuu akusaidie
 
Mbona mmewasahau wakina max na kina invisible ? Hivi wakiamu kuanzisha kiingilio kuingia jf kwa kila member na iwe sio chini ya laki unafikiri watakuwa na mkwanja kiasi gani ????? Wacheni hizo . Mafogo wa kweli tumevunga tuna wa chabo tu kwa mbali.

na kwa akili yako unafikiri wakianzisha kiingilio kuna mtu ata visit?

elimu ya mambo ya social network ni zero kabisa
 
Hhahhahahha poor u mna viwanda vya maji ya viroba ndio mnasema mna viwanda? Kama unadhani kutembelewa na rais wa USA kwenye kiwanda ni kitu chepesi hebu mwalike Obama basi aje kwenye kiwanda chako

Kijana Bush kwenda Arusha kufungua kiwanda na Net siyo sababu ya msingi ni mambo ya kisiasa Bush alikwenda mpaka Magomeni Mapipa kufungua kihospitali.

Dar es Salaam kuna viwanda vingi tofauti na mikoa mingine kuna viwanda vya Saruji. Nondo, Rangi, Tires, Aliminium, Mabati, vyakula kuna viwanda vya Ngano, Mafuta ya kula, Sabuni, Sukari, Maji, Soda, Juice, Maziwa na bidhaa zingine.
 
ivi nyie wote mshakunywa chai? Damn.
Huyo jinga anaesema ndege bei rahisi anitajie watanzania wangapi wanamiliki ndege binafsi. Sitaki za biashara. Taja ndege binafsi kama wewe unavyo miliki hiyo pick up yako.
Alafu hao wote mnao waita mabilionea ukiwauliza wao watakataa. Mfano huyo mtoto wa kambo wa first lady alishesema ana mshiko wa kawaida tu benk na vijigari vya kawaida kabisa.
Ok tujadili lunch wapi leo. ambae atakuwa town mida ya saa saba tukutane serena. I will pay for drinks
hahahahaah mbwembe tu billionea wewe heheheheheeh una ubavu wa kula serena 30days za mwezi hahahahaah
 
How old are you now?

ulikuwa una miaka mingapi GWB alivyokuja Bongo last time

ulikuwa unaijua ajenda ya GWB kuja Tanzania??

ukinijibu haya maswali ndio nitakujibu swali lako

mtafute
mtu anayeitwa joka kuu akusaidie

Umri wangu wa nini? Nina miaka 14. Najua wewe ni kibabu kabisa ila wewe ndie umeanza kuuliza na mimi namjibu mjinga kadri ya ujinga wake!
 
aaah me ngoja nikamtarasue kicheche mmoja huku kino, nkirudi thread ishajaa...................!:rockon:
we ndio unajifanyaga na maneno ya biblia kila kukicha blabla blab kibao kujifanya unaijua dini kumbe ni wale wale ,watch your word bora kuwa vuguvugu kuliko moto utapikwe !!!! Fyuuuuuuuuuuuuuuuuuuu mungu sio wakuchezewa hivo
 
Huwezi linganisha miaka 39 ya Nyaga au Sambeke kwa Mkono 89 Funguka hawa watoto wamepata kwa akili yao si ya kushikiliwa na wazazi na angalia Miaka na ujue kuna kuzeeka pambanisha na kina Mosha au Riz 1 ambao nao wamerithi

Mosha amerithi kwa nani?? Humu ndani naona watu wanaropoka tuuuuu jinsi wanavyojisikia
 
Back
Top Bottom