Young Tanzanian
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,736
- 293
Hiyo list fake apo umetaja wajasriamali si matajr kna rz,shgongo etc wote hao ni wajasriamali
mkuu bob sambeke alikuwa anamiliki ndege tatu hizo ni bilion ngapi? Halafu ongeza na raslimali nyigine, akiitwa bilionea naona sahihi.
Hivi huko Arusha mnatumia vigezo gani kuwaita watu mabilionea?
Kumbe na kinje nae ni Tajiri? Hahahahahahaha
assets na vyeti vilivyoko bank.....note.. vyeti ni pesa.zaidi us.d.chezea arusha wewe mtu ana dila laki tano bank dar mtu ana milioni mia tano madafu mnamuita tajiri kisa anacheni na vog. wa arusha ana corolla. tu
parking zote za dar zikiwa chini yako mkwanja unaingia kwako
tukuite nani masikini?
assets na vyeti vilivyoko bank.....note.. vyeti ni pesa.zaidi us.d.chezea arusha wewe mtu ana dila laki tano bank dar mtu ana milioni mia tano madafu mnamuita tajiri kisa anacheni na vog. wa arusha ana corolla. tu
Kuna watu dar wana appartments za 2 usd mikocheni huko na unapishana nao kwenye kahawa njoo dar chalii
Ile nayo ni ndege? Angemiliki gulfstreem PJsijui ingekuwaje? Ndege ya abiria watatu si km bodaboda kwetu dar imepandisha mshikaki? Acheni hizo....bilionea lazima asomeke TRA km bakhresa sio hela za magumashi! Mkipewa kuku wa sakina na roundi za mvinyo mnasifiiiiiiiiaaaaaa!