Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,625
- 5,341
Hivi huko Arusha mnatumia vigezo gani kuwaita watu mabilionea?
naona umekuja kuchota ilm
Hivi huko Arusha mnatumia vigezo gani kuwaita watu mabilionea?
ndege sio utajiri inauzwa hadi 24000usd ambayo inazidiwa na bei ya pickup yangu ya 38000usd
ndege sio utajiri inauzwa hadi 24000usd ambayo inazidiwa na bei ya pickup yangu ya 38000usd
ndege sio utajiri inauzwa hadi 24000usd ambayo inazidiwa na bei ya pickup yangu ya 38000usd
Enough is enough
Naomba niumalize huu mzizi wa fitina kati ya matajiri wa Arusha na matajiri wa Dar maana naona tunaleteana mbwembwe hapa
Mtu unamwita billionaire kwa kipi?
Mie naomba niwataje matajiri wa bongo ambao wanakimbiza hao wenu wa Arusha
Simtaji Bakhresa maana nitakuwa nimewaonea sana ila hii ndio list yangu
Mafuruki
Kimei
Kusaga
Kinje
Riz1
Michael Ngeleku
Mkono
Shigongo
Freeman
David Mosha
Marsha
Ray wa Regency
Dogo mwenye Herderly plaza
Luca mumewe Nancy
Hao niliowataja ni watu wa kawaida saaaaana hapa Dar ila wakija Arusha ni mabillionaire
Huyo Mawala hivi alikuwa anamzidi Mkono?
Naulizaaaaaa
Sijawataja kina Mo, kina Rostam kwani najua nitawaonea
Hivyo basi naomba nyie machalii mtu akizungusha round ya bia kila siku msimwite billionaire sawa wakuu
Nimemaliza
Hahahah, umenichekesha sana.... ubepari sasa umetia nanga, miji inajivunia mabepari uchwara wao; bravo bravo, makofi!!!Enough is enough
Naomba niumalize huu mzizi wa fitina kati ya matajiri wa Arusha na matajiri wa Dar maana naona tunaleteana mbwembwe hapa
Mtu unamwita billionaire kwa kipi?
Mie naomba niwataje matajiri wa bongo ambao wanakimbiza hao wenu wa Arusha
Simtaji Bakhresa maana nitakuwa nimewaonea sana ila hii ndio list yangu
Mafuruki
Kimei
Kusaga
Kinje
Riz1
Michael Ngeleku
Mkono
Shigongo
Freeman
David Mosha
Marsha
Ray wa Regency
Dogo mwenye Herderly plaza
Luca mumewe Nancy
Hao niliowataja ni watu wa kawaida saaaaana hapa Dar ila wakija Arusha ni mabillionaire
Huyo Mawala hivi alikuwa anamzidi Mkono?
Naulizaaaaaa
Sijawataja kina Mo, kina Rostam kwani najua nitawaonea
Hivyo basi naomba nyie machalii mtu akizungusha round ya bia kila siku msimwite billionaire sawa wakuu
Nimemaliza