bucho
JF-Expert Member
- Jul 13, 2010
- 5,172
- 3,265
na kwa akili yako unafikiri wakianzisha kiingilio kuna mtu ata visit?
elimu ya mambo ya social network ni zero kabisa
Kwanini watu wasiingie na wamekuwa addicted ?
na kwa akili yako unafikiri wakianzisha kiingilio kuna mtu ata visit?
elimu ya mambo ya social network ni zero kabisa
Kijana Bush kwenda Arusha kufungua kiwanda na Net siyo sababu ya msingi ni mambo ya kisiasa Bush alikwenda mpaka Magomeni Mapipa kufungua kihospitali.
Dar es Salaam kuna viwanda vingi tofauti na mikoa mingine kuna viwanda vya Saruji. Nondo, Rangi, Tires, Aliminium, Mabati, vyakula kuna viwanda vya Ngano, Mafuta ya kula, Sabuni, Sukari, Maji, Soda, Juice, Maziwa na bidhaa zingine.
Hiyo inaitwa kula vumbi ....... ukinifuatilia mie unakula vumbi tu .......!we ndio unajifanyaga na maneno ya biblia kila kukicha blabla blab kibao kujifanya unaijua dini kumbe ni wale wale ,watch your word bora kuwa vuguvugu kuliko moto utapikwe !!!! Fyuuuuuuuuuuuuuuuuuuu mungu sio wakuchezewa hivo
Mwanzilishi wa huu uzi yupo bar akicheza pool sasa kaishiwa hela ya kete kwa kutumia ki huawei chake kaamua kutoa uzi huu ,huku akimsubiri tajiri amunulie ze lagerwaswahili bwana et nani tajiri af unakuta yeye hana hata baiskeli..sasa kama huyo tajiri akiwa wa kwanza au wa mwisho tunafaidika na nini
Katika hivyo vyote ni hivyo viwili tu havipo Arusha Sukari na Saruji. Lakini pia hata Dar hakuna kiwanda cha Tires kama ulivyodanganya hapo ila Arusha kipo.....hivi unajua maana ya kiwanda wewe? Je nikikwambia Dar hamna kiwanda cha net? utabisha? Acha utoto.....
aim the empire on which sun never set -hündinhiyo inaitwa kula vumbi ....... Ukinifuatilia mie unakula vumbi tu .......!
Kama mapadre wanatiana na masister siye waumini tufanyeje fyuuuuuuuuuu zako mwenyewe usipokaa vizuri pia unatarasuliwa ...........!:a s shade:
Kijana Bush kwenda Arusha kufungua kiwanda na Net siyo sababu ya msingi ni mambo ya kisiasa Bush alikwenda mpaka Magomeni Mapipa kufungua kihospitali.
Dar es Salaam kuna viwanda vingi tofauti na mikoa mingine kuna viwanda vya Saruji. Nondo, Rangi, Tires, Aliminium, Mabati, vyakula kuna viwanda vya Ngano, Mafuta ya kula, Sabuni, Sukari, Maji, Soda, Juice, Maziwa na bidhaa zingine.
aim the empire on which sun never set -hündin
we ndio unajifanyaga na maneno ya biblia kila kukicha blabla blab kibao kujifanya unaijua dini kumbe ni wale wale ,watch your word bora kuwa vuguvugu kuliko moto utapikwe !!!! Fyuuuuuuuuuuuuuuuuuuu mungu sio wakuchezewa hivo
:iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid:Hata ungekuwa vampire ...................... 😛layball:
Ni kweli huyo hapo nyuma yako wakati mwingine unamkalia teh teh teh teh ..................:rockon::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid:
Mbona hata hao uliowataja bado ni kama umewaonea, mkuu. Saizi yao hao matajiri wa Arachuga ni Diamondo, Lady JD, Prof. Jay na Akina Wema Sepuka.Enough is enough
Naomba niumalize huu mzizi wa fitina kati ya matajiri wa Arusha na matajiri wa Dar maana naona tunaleteana mbwembwe hapa
Mtu unamwita billionaire kwa kipi?
Mie naomba niwataje matajiri wa bongo ambao wanakimbiza hao wenu wa Arusha
Simtaji Bakhresa maana nitakuwa nimewaonea sana ila hii ndio list yangu
Mafuruki
Kimei
Kusaga
Kinje
Riz1
Michael Ngeleku
Mkono
Shigongo
Freeman
David Mosha
Marsha
Ray wa Regency
Dogo mwenye Herderly plaza
Luca mumewe Nancy
Hao niliowataja ni watu wa kawaida saaaaana hapa Dar ila wakija Arusha ni mabillionaire
Huyo Mawala hivi alikuwa anamzidi Mkono?
Naulizaaaaaa
Sijawataja kina Mo, kina Rostam kwani najua nitawaonea
Hivyo basi naomba nyie machalii mtu akizungusha round ya bia kila siku msimwite billionaire sawa wakuu
Nimemaliza
Kakojoe, ukalalekweki waswahili hawakukosea waliposema habari za tajiri mwulize maskini. kwanza wengi wenu mnaobishana hapa dar sio kwenu ni wakuja na usishangae hapa mnyakyusa yuko buzy hapa anaitetea dar akibishana na kijana wa kiarusha au mangi na wote hao wanaishi dar,mmoja anatetea kwao japo anaishi dar mwingine anatetea dar wakati kwao katavi. mafogo wenyewe wamekaa ofisini muda huu wanaingiza mpunga nyi mnabishana huku.
"MIAFRICA NDIVYO TULIVYO".source nyani ngabu
Hivi huko Arusha mnatumia vigezo gani kuwaita watu mabilionea?
Mosha ndio unamlinganisha na Bob Sambeke? NI PESA WALIZONAZO AU?unalinganisha Wachagga na Wazaramo,Mosha amerithi kwa nani??
Humu ndani naona watu wanaropoka tuuuuu jinsi wanavyojisikia