hahahahaha,,,,,,hata hao wa arusha na dar ni wa mikoa mingine;xi wakurya tunakula deals mza,,,
vicfish ni ya mzungu anaitwa john ndio amemuo yule mama wa kihindi,zee na kumuachia aiendeshe so watu wengi hufikiri ni ya muhindi hata watoto wake ni wazungu,wana toto lao moja la mwisho linatutesa sana huku na hammer h2 yake,na bado wanaishi pale capri point,
lema still yupo rock city,siku hizi wanakula hela zetu kwa kutumia villa park yao,,daymmn last time i saw nancy ilikuwa around early 2000 alikuwa chuo usa,siku hizi wana katoto kao ka yule lema mkubwa kanaitwa nectar ni mwisho,mtoto kama malaika vile,,,,
welcome mza tule bata na kutafuta mbumba shida uchawi mwingi huku,,,