Matajiri wa Dar es salaam vs Arusha

Matajiri wa Dar es salaam vs Arusha

sunda kidogo nakubali but papaa king magumashi tu,benson naye utamwita ana pesa kisa vi magari vya ajabu,,r chuga ni sifa zimejaa

Asee Arusha watu wana clean money tofauti na Dar ambako ni wizi mtupu wa kodi zetu
 
Asee Arusha watu wana clean money tofauti na Dar ambako ni wizi mtupu wa kodi zetu

kweli hata mimi naona

quote_icon.png
By Magesi
Duka la nguo,Tapeli,Jambazi,Mkopeshaji ,Kudhulumu




quote_icon.png
By Ally Kombo
Hivi kuna Bob Sembeki wawili !? .....maana kuna mmoja alikuwa anasifika sana kwa kuvunja steringi za magari enzi za Mahita yuko Moshi !



zamani(alijulikana,kama,BABU,s ambeke),baada,ya,kuwa,na,pesa, BOB!!!​





  • quote_icon.png
    By PakaJimmy
    Mkuu, ni baada ya mmiliki kuwa deceased...
    Najua ukianza kwenda kisheria utanikamata uchawi.
    Mkuu wangu lakini hata gari lake la fahari alilokuwa amelipaki huko airport wakati aliporusha ndege hiyo siku ya ajali lilikuwepo huko huko airport mpaka leo, hadi mapailot wenzake walipoamua kwenda polisi kuomba funguo na kulirudisha nyumbani kwake.
    Kuna successors wa mmiliki kweli hapo?...labda unisaidie.



    Ana mtoto wake Jamal na pia ana watoto wawili wa kike.Ana brother wake anaitwa Amani.Cha muhimu ni if he had a will.

    quote_icon.png
    By El Toro
    Pole sana Preta
    ila nimejifunza mengi kwa vifo vya hawa watu maarufu jijini Arusha
    1. Makuta yao wamepata kwa magumashi ikiwa pamoja na ujambazi!
    2. Wana uhusiano mkubwa sana na viongozi wakubwa wa siasa
    3. Mtaona watu watakaohudhuria mazishi yake na hata waliohudhuria ya Nyaga na Nyiti
    4. Wametafuna totoz zote kali za Arusha
    5. Ukiwa na pesa hata kama za ujambazi utapendwa na kila mtu
    6. Raha na adhabu ni hapa duniania
    7. Pole sana Preta....Tena sana tena sana I can imagine how are you feeling now...

    Nitarudi baadaye...



    quote_icon.png
    By El Toro
    Pole sana Preta
    ila nimejifunza mengi kwa vifo vya hawa watu maarufu jijini Arusha
    1. Makuta yao wamepata kwa magumashi ikiwa pamoja na ujambazi!
    2. Wana uhusiano mkubwa sana na viongozi wakubwa wa siasa
    3. Mtaona watu watakaohudhuria mazishi yake na hata waliohudhuria ya Nyaga na Nyiti
    4. Wametafuna totoz zote kali za Arusha
    5. Ukiwa na pesa hata kama za ujambazi utapendwa na kila mtu
    6. Raha na adhabu ni hapa duniania
    7. Pole sana Preta....Tena sana tena sana I can imagine how are you feeling now...

    Nitarudi baadaye...

 
Mimi nashangaa sana maskini huko Dar wanajizodoa utadhani wana kitu , eti Ar mnatumia kigezo gani kuwaita watu bilionea?
Kwani Dar ina tajiri yupi? Wote sio wa Dar ni eidha Arusha, Moshi, Pemba na Mbeya. Dar ni maskini watupu kama sie wengine tu ila wanajiona kuishi Dar ni issue. Upuuzi mtupu.
 
Asee Arusha watu wana clean money tofauti na Dar ambako ni wizi mtupu wa kodi zetu

Wamjua Mathias? Ana hela kuliko kuliko huyo Bakhresa wenu mchungu kama kitasa. Matajiri ni pamoja na kusaidia jamii.Bakharesa ni kitasa.
 
Tatizo la vijana wa Arusha wakipewa bia na nyama choma tu wanawaita watu bilionea. Labda niulize Arusha kuna matajiri wa ngapi wenye viwanda.

Ha haaa kwani kiwanda ndio kipimo cha utajiri. achana na kitu real estate bana
 
hahahahaha,,,,,,hata hao wa arusha na dar ni wa mikoa mingine;xi wakurya tunakula deals mza,,,
vicfish ni ya mzungu anaitwa john ndio amemuo yule mama wa kihindi,zee na kumuachia aiendeshe so watu wengi hufikiri ni ya muhindi hata watoto wake ni wazungu,wana toto lao moja la mwisho linatutesa sana huku na hammer h2 yake,na bado wanaishi pale capri point,
lema still yupo rock city,siku hizi wanakula hela zetu kwa kutumia villa park yao,,daymmn last time i saw nancy ilikuwa around early 2000 alikuwa chuo usa,siku hizi wana katoto kao ka yule lema mkubwa kanaitwa nectar ni mwisho,mtoto kama malaika vile,,,,
welcome mza tule bata na kutafuta mbumba shida uchawi mwingi huku,,,

Vic fish ni ya wahindi wewe hujui kitu, mwenye Vic fish ni mjombo wake na Murtaza ambaye ni mkurugezi huko Mwanza hawa ndiyo wenye bahari beach Dar, ni wahindi wa Zenji.
 
Wamjua Mathias? Ana hela kuliko kuliko huyo Bakhresa wenu mchungu kama kitasa. Matajiri ni pamoja na kusaidia jamii.Bakharesa ni kitasa.

Mathias Manga namfaham vyema,ni mtu wa watu sana n he got cleana money,chezea tanzanite wewe!!
 
Vick Vish ni ya wahindi wewe hujui kitu, mwenye Vick Vish ni mjombo wake na Murtaza ambaye ni mkurugezi huko Mwanza hawa ndiyo wenye bahari beach Dar, ni wahindi wa Zenji.

unamjua zee mkuu?,,unamjua mume wake,unawajua watoto wake,na usichukulie watu easy eti hawajui kitu,,,
 
Wamjua Mathias? Ana hela kuliko kuliko huyo Bakhresa wenu mchungu kama kitasa. Matajiri ni pamoja na kusaidia jamii.Bakharesa ni kitasa.

Kunywa supu kwanza kabla kuja kuchangia inakata hangover.....
 
c.t.u unamjua mbongo mwenye share pale mwadui,jamaa anaitwa phantom ni mhindi si mchezo,kuna jamaa mmoja nampata alikuwa anapiga deals za pamba contract zina faida ya 4-15 billion na alikuwa mtu wa kawaida kwa wale majogoo wenyewe sema alisha pass away,,r.i.p my bro m****ye,,,
alafu 2008 kuna mnyatuzu mmoja wa bariadi alioa binti wa std 7 kwa ng'ombe 200 walitolewa live na hii kesi ilivuma sana sema jamaa aliizimisha,,,,
shinyanga pana pesa ka unafanya risky deals,,

i know phantom ila kipindi kile shinyanga ilikuwa chini ya utawala wa matajiri wa maganzo
mohamed trans
na kina nchambis
 
Ha haaa kwani kiwanda ndio kipimo cha utajiri. achana na kitu real estate bana

viwanda vinaingiza pesa kuliko real estates

kwani viwanda ambavyo vinatengeneza consumer goods vinadhalisha kila siku
na kila siku people they need to buy sio kama real estates

chukulia mfano wewe

nyumba unalipa kama sio mwisho wa mwezi basi baada ya miezi sita au mwaka
ila jiulize mafuta ya kupikia unanunua kila baada ya muda gani

kuna mwingine atanunua mafuta ya kupikia hayo hayo unayotumia wewe anakaa anakaa kwenye nyumba yake

kuna mwingine atanunua mafuta ya kupikia hayo hayo unayotumia wewe ila anakaa kwa mama yake, mume wake

so viwanda ndio mpango mzima mkuu
 
Mbona mmewasahau wakina max na kina invisible ? Hivi wakiamu kuanzisha kiingilio kuingia jf kwa kila member na iwe sio chini ya laki unafikiri watakuwa na mkwanja kiasi gani ????? Wacheni hizo . Mafogo wa kweli tumevunga tuna wa chabo tu kwa mbali.
 
Kwa wanaomfahamu marehemu Bob zile mali hakuzimung'unya??
Huwezi linganisha miaka 39 ya Nyaga au Sambeke kwa Mkono 89 Funguka hawa watoto wamepata kwa akili yao si ya kushikiliwa na wazazi na angalia Miaka na ujue kuna kuzeeka pambanisha na kina Mosha au Riz 1 ambao nao wamerithi

 
parking zote za dar zikiwa chini yako mkwanja unaingia kwako
tukuite nani masikini?

Hahahaaaa wewe bwana, mwenzio pale za kwake ni asilimia 2 tu za faida na wala sio mapato maana hata mimi niko kwenye huo mgao. Hizo tenda ni dili tu kwake wamefanyia njia acha upofu
 
viwanda vinaingiza pesa kuliko real estates

kwani viwanda ambavyo vinatengeneza consumer goods vinadhalisha kila siku
na kila siku people they need to buy sio kama real estates

chukulia mfano wewe

nyumba unalipa kama sio mwisho wa mwezi basi baada ya miezi sita au mwaka
ila jiulize mafuta ya kupikia unanunua kila baada ya muda gani

kuna mwingine atanunua mafuta ya kupikia hayo hayo unayotumia wewe anakaa anakaa kwenye nyumba yake

kuna mwingine atanunua mafuta ya kupikia hayo hayo unayotumia wewe ila anakaa kwa mama yake, mume wake

so viwanda ndio mpango mzima mkuu

Real Estate ni pana inajumuisha Ardhi,Magorofa ,nyumba za kuisha na Mahoteli ya kukodisha.
worth ya watu kama kenyatta ni Tajiri Afrika lakini hana kiwanda , kwa nini pension funds wanajenga majumba kama hayalipi ? Nyumba inalipa maana hela yote ni income lakini kwenye kiwanda kuna kitu inaitwa production costs/ cost of goods /Raw materails ndio ukokotoe faida inakuwa ndogo.
 
AAAH ME NGOJA NIKAMTARASUE KICHECHE MMOJA HUKU KINO, NKIRUDI THREAD ISHAJAA...................!:rockon:
 
Back
Top Bottom