Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Sawa uliisha mtenga, mbona wamfuata fuata bado?
Amemfuata nani?wamefuatwa wangapi ?au ni kwakuwa ni kiongozi mkuu ndio hamtaki watu wamzungunzie?
Sawa uliisha mtenga, mbona wamfuata fuata bado?
Alaaa sasa wewe ulifuata nini katika mkutano wake? tena ukazungumza na Msaliti unamuuliza maswali ili iweje?Amemfuata nani?wamefuatwa wangapi ?au ni kwakuwa ni kiongozi mkuu ndio hamtaki watu wamzungunzie?
Sawa limenipata ila naomba utwekee hivyo vitu nilivoomba utuwekeeePole sana naona jiwe limekupata
Alaaa sasa wewe ulifuata nini katika mkutano wake? tena ukazungumza na Msaliti unamuuliza maswali ili iweje?
upuuzi wangu unafanana na huo unaoufanya kwenye avatar yako?ilikua kwenye mkutano wa hadhara mbeya.....hayo mengine uliyo andika ni upuuuzi tu
Kwa hiyo ulimfuata?Alaaaaa,yaani kipindi cha kampeini,au mkutano wa kiongozi wa chama cha siasa kwa mtu mpenda siasa kwenda kwenye mkutano hakujalishi kama wewe ni mfuasi wa huyo kiongozi,ni sawa na mpenzi wa soka huchagui mechi za kuangalia mkuu!
Alaaa sasa wewe ulifuata nini katika mkutano wake? tena ukazungumza na Msaliti unamuuliza maswali ili iweje?
Sawa limenipata ila naomba utwekee hivyo vitu nilivoomba utuwekeee
Nilichouliza mnafuata mkasema hafuatwi mtu wakati mlikwenda kwenye mkutano wa msaliti ina maana mlimfuata msaliti kwa haki yenu au sio?.. Mnachokataa nini hapa.... duuh, kwahyo kiongozi wenu haulizwi maswali?. kuhudhuria mkutano wa siasa ni haki ya kila mtu
Zitto wabunge waupinzani ni wezi maaana watapokea kiinua mgongo cha zaidi ya milioni 200.
Swali: unasema pesa hizo ni zawizi je wewe utapokea? Maana katibu wa bunge alisema unahaki ya kupokea.
Zitto: Nitapokea lakini ntapeleka kusaidia maalbino.
Watu: huuuuhuuuhuuu unauhakika gani hao wabunge wengine watatumia wapi
Zitto: kwa jazba anajibu "waulizeni wao
Watu: buuubuuubuuuubuuuu
Swali la pili
Wewe ulivyo timuliwa kwenye chama chako cha zamani ndani ya siku saba ukahamia chama kingine na kubadirisha katiba kisha kujipatia cheo kikubwa.hauoni kama wewe ni mroho wa madaraka? Alfu mbona unataja vyeo vya wenzio wewe hautaji chako?
Zitto: Zitto hili swali atalijibu mwenyekii
Magwila: mfumo wetu haupo Tanzania tumeuchukua Kenya, kunakua na kiongozi wa chama na mwenye kiti
Watu: weweeee taja cheo chake, wewe na yeye nani mkubwa
Magwira: anaona aibu anacheka, ebu tuangalieni mimi na zitto nani mkubwa
Watu: wewe jibu swaliii
Zitto ana mnyan'ganya mic magwila kisha anajibu kwa jazba sisi hatugawani vyeo tunagawana majukumu
Watu: buuubuuubuuuuuuu
Swali la tatu
Kama ambavyo dr slaa alitaja list of shame vipi na wewe unaujasiri wa kutaja majina ya walio ficha fedha uswisi ukizingatia tunaenda kwenye uchaguzi na tunaweza kuwachagua hau walio ficha bila kujua
Zitto.kwani Slaa alivyo wataja kilibadirika nini majina ntayapelekwa bungeni
Watu: huuuhuuuhuuuhuu
Habibu: anamnyan'ganya mic muuliza swali.
Watu: mwachieeeee
Habibu wanao taka kujiunga na chama waje wajiunge
Watu: mnazinguaaaaaaa
Mytake: Zitto na ACT yake wajipange sana maana una watanzania ni waelewa kuliko anavyodhani.
Hajiulizi mpaka sasa kwanini hakuna mwanachadema anayehama chama na kujiunga nae.
Bahati mbaya sana sina chamaKama kweli wewe ni mwana act na upo karibu nao nafikiri utaupata huo ukweli kupitia huko.
.... Ni Mwami, Kasulu Aliitwa Mwami RUTAGAMBWA
nasema umeuliza maswali ukitegemea majibu uloyapanga na hayakuja... Unamrfananisha vipi Zitto na Dr.Slaa halafu mtu akujibu mbona Slaa likimbia mdahalo kama kweli ilikuwa kuna ushindani? Mnataka ushindani hata mahala pasipo hitajika na kila mnavyomnanga Zitto ndivyo atakavyo wamalizeni siku ya siku msivyo tumia akili wala mahesabu kiasi kwamba naanza kuamini pengine nyie ndio mlotumwa na CCM.
Bahati mbaya sana sina chama
kwani waloshiriki wale walikuwa kina nani? mbona pale mgombea aikuwa mmoja tu na wengine wameshiriki! Mimi sijahoji Dr.Slaa kushiriki ama kutoshiriki ila nimeshangazwa na maswali ya huyu mleta mada ambaye ametoka nyumbani kwake kwenda kuuliza maswali ambayo hayajengi isipokuwa nia na lengo lake linaonekana wazi. Hivi kweli Shetani kesho akisema ana mkutano Jangwani wewe muumini wa kweli utakwenda?Mkuu Mkandara mbona umeamua kujitoa ufahamu? je mh DR SLAA angeshiriki kama nan? kwa sababu mpaka sasa CDM haijapitisha jina la mgombea URAIS
Amesema atamwachia Lowassa akiamua kujiunga nao akitokea CCM,mradi tu atangaze Mali zake!!!!!!!!!!!Sielewi kama huo ndiyo ujamaa wanaousema
Kama kweli wao ni wanaharakati hawakutumwa, ebu watuonyeshe video walizo muuliza maswali Kinana maana CCM ndiye watapambana kwenye uchaguzi huu..Tuangalie video ya tunduma kwenye thread ya msaliti mcubic
Huyu kijana ni ana shida sanaKwa jeuri ya zzk kuyajibu aliona atajishushia heshima