Maswali yangu yaivuruga ACT-Wazalendo

Maswali yangu yaivuruga ACT-Wazalendo

DCONSCIOUS

Wana JF.
Natoa wito kwa viongozi wetu wa CDM Katibu Mkuu Dr.Slaa na Mwenyekiti Freeman Mbowe kwa pamoja waanze ziara kupita kote alikopita Zitto Kabwe wazimishe nguvu ya Zitto Kabwe. Na waweke kambi Kigoma wajenge chama.
 
Last edited by a moderator:
DCONSCIOUS

haya maswali ulimuliza akia wapi au uliuliza kiongozi yupi wa act?
tumia akili aise
 
Last edited by a moderator:
Sasa unacho bisha ni kitu gani? Hayo maswali kayaweka nawe umeyaona au unataka kutwambia kuwa zzk ndio mwenye elimu pekee yake hapa tanzania? Inawezekana huyo mleta uzi ana elimu kubwa kuliko huyo zzk wako,wacha kutawaliwa na mihemuko ya itikadi.

Hii dhana ya Zitto ana elimu kuliko watanzania wote ipo sana hasa kwa wanafunzi wa sekondari na watu wa facebook.Kimsingi ana elimu a kawaida si kipanga kama watu wanavodhani, kama ni uchumi kuna waliomzidi wengi tu humu JF na mitaani , siku akikatiza maeneo nilipo utasikia mkuu sipendi ligi ila lazima atiwe adabu si kupigwa aulizwe maswali na aelekezwe mambo kwa wanaojua zaidi yake
 
Hii dhana ya Zitto ana elimu kuliko watanzania wote ipo sana hasa kwa wanafunzi wa sekondari na watu wa facebook.Kimsingi ana elimu a kawaida si kipanga kama watu wanavodhani, kama ni uchumi kuna waliomzidi wengi tu humu JF na mitaani , siku akikatiza maeneo nilipo utasikia mkuu sipendi ligi ila lazima atiwe adabu si kupigwa aulizwe maswali na aelekezwe mambo kwa wanaojua zaidi yake

Uko sahihi kabisa mkuu,jamaa kanapenda kujikweza ile mbaya.
 
Mazuri mazuri na yameenda shule,
sema tu ilihitaji busara ya hali ya juu kuyajibu
 
Maswali magumu mno hayo na hayajibiki.
mtamuua ---------
 
zitto hajawahi kujibu maswali magumu tangu azaliwe na hatokuja kuyajibu .
 
Zitto msanii sana, suala la kiinua mgongo amesema ziada ya isiyo halali ndio atapeleka kwa wahitaji wa Buhangija,lkn zingine atazuia kwahiyo aache propaganda kwamba yeye hatachukua hizo hela. Na alitumia lugha ngumu ili kuwafumba baadhi ya wafuata upepo wasiosikiliza vzr kazi kushabikia tu
 
Last edited by a moderator:
Ulikosea sana kumuuliza Zitto maswali mazito namna hii,Zitto hajazoea kuulizwa maswali mazito kama haya anacho kitaka Zitto ni kusifiwa na kujisifu,siku nyingine akikuona kwenye mkutano wake kama itakuwa mbeya atatoka nduki mtakwenda kumkamatia Zambia au Malawi.
 
Ulikosea sana kumuuliza Zitto maswali mazito namna hii,Zitto hajazoea kuulizwa maswali mazito kama haya anacho kitaka Zitto ni kusifiwa na kujisifu,siku nyingine akikuona kwenye mkutano wake kama itakuwa mbeya atatoka nduki mtakwenda kumkamatia Zambia au Malawi.

haaahaaahaaa kweli mkuu
 
Piga maswali huyo bwana misifa na mtu hatarishi wa ustawi wa jamii kwa kutaka kuaminisha umma kuwa kufukuzwa kwake ndani ya cdm kumejengwa na misingi ya kibaguzi ya kidini na kikabila.
Ni mtu hatari sana zaidi ya shetani.
Wenye akili zetu tulishamshitukia.
Atadanganya hao hao ndg zake wa kgm hasa wale wabembe,watongwe,wabwali na wagoma maana wengi wao ni akili kuambiwa.
 
DCONSCIOUS

Hayo mahojiano yalikuwa wapi?unaweza kutupatia nakala ya sauti au video?
Pia muuliza maswali ulikuwa kishambenga sana,ulikuwa huna tofauti na wale wanaokodisha muziki,watu na magari kwenda kuwasuta/kuwaumbua wenzao........YOU SAIL IN THE SAME BOAT
 
Last edited by a moderator:
Zitto msanii sana, suala la kiinua mgongo amesema ziada ya isiyo halali ndio atapeleka kwa wahitaji wa Buhangija,lkn zingine atazuia kwahiyo aache propaganda kwamba yeye hatachukua hizo hela. Na alitumia lugha ngumu ili kuwafumba baadhi ya wafuata upepo wasiosikiliza vzr kazi kushabikia tu

Zzk ni zaidi ya chumia tumbo tulio wahi kuwashuhudia kwenye uringo wa siasa
 
Last edited by a moderator:
Haya maswali yako mkuu hata miye ningeshindwa kuyajibu. Maana kwa kila jibu silo jibu ulolitaka. labda nikuulize hivi:- Je, Ukiwa na njaa utakula nguruwe?

Hivi wana CDM kwa nini mnashangaa Zitto kutimiliwa CDM akaenda ACT na kuwa rais wakati Dr.Slaa lipotimuliwa CCM haikupita hata siku akagombea Ubunge na kuwa makamu mwenyekiti? Kuna tatizo gani, hicho chama cha NCCR nani alokiunda na na nji alikuwa mwenyekiti wake, CUF na hata Chadema hisotoria yake hatuijui kihivyo inaweza kuwa walosajili chama ni watu wengine na Mzee Mtei akatoka CCM na kujiunga na Chadema na kuwa mwenyekiti siku hiyo hiyo. Cha ajabu kipi
 
Back
Top Bottom