Nimezungumza maneno yako mwenyewe ulotaka kulinganisha watu. Wewe unauliza maswali ambayo hayajengi bali kama umetumwa vile ulitegemea akujibu ulivyofikiria.
Hili ndilo tatizo lenu nyie mlotumwa na CCM kuhakikisha ugonvi huu hauishi ili kukidhi matakwa ya CCM, maana mwisho wa siku Chadema na ACT watagawana kura na CCM atoke msindi. Haiwezekani watu wenye akili timamu na wenye nia na matakwa safi waendeleze libeneke hili ili iweje? haiwezekani Zitto afukuzwe wakati chama kimeweza kula ng'ombe mzima mgombanie ngozi! ati msakliti! Kuna jambo nyuma ya yote haya yasokwisha maana tuliyaona huko nyuma toka NCCR hadi CUF njama ni zile zile mtindo ni ule ule..