Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Hayo mahojiano yalikuwa wapi?unaweza kutupatia nakala ya sauti au video?
Pia muuliza maswali ulikuwa kishambenga sana,ulikuwa huna tofauti na wale wanaokodisha muziki,watu na magari kwenda kuwasuta/kuwaumbua wenzao........YOU SAIL IN THE SAME BOAT
Pole sana naona jiwe limekupata