Maswali yangu yaivuruga ACT-Wazalendo

Maswali yangu yaivuruga ACT-Wazalendo

Sasa unacho bisha ni kitu gani? Hayo maswali kayaweka nawe umeyaona au unataka kutwambia kuwa zzk ndio mwenye elimu pekee yake hapa tanzania? Inawezekana huyo mleta uzi ana elimu kubwa kuliko huyo zzk wako,wacha kutawaliwa na mihemuko ya itikadi.

jipange kijana!

We unadhan kila sehem n sehem ya kuropoka tu! ZZK hana elimu ya kutisha (hata miye nimemuacha vidato, tehtehteh) ila anauwezo mkubwa wa kupanga hoja kuliko wana UKAWA wengi, hebu jipangen vzr muache kukurupuka! kwa kukurupuka huku mtaishia kupiga stori vijiwen tu.
 
Ataambulia kuhama na Leticia na Shibuda wake tu. Mnafikia mkubwa huyu.
 
jipange kijana!

We unadhan kila sehem n sehem ya kuropoka tu! ZZK hana elimu ya kutisha (hata miye nimemuacha vidato, tehtehteh) ila anauwezo mkubwa wa kupanga hoja kuliko wana UKAWA wengi, hebu jipangen vzr muache kukurupuka! kwa kukurupuka huku mtaishia kupiga stori vijiwen tu.

Hoja zipi hizo alizowahi kuzipanga Zitto? Alichokuwa anafanya ni kudandia tu hoja za wenzake na kutafuta publicity. Mfano mzuri ni kuwa yeye mwenyewe anadai kuwa alianzisha hoja ya Buzwagi, EPA, MEREMETA, KAGODA na hata ESCROW na kuwa eti yeye ndie aliyeiangusha serikali. Je ni mkweli?

Kama ana uwezo mkubwa wa kupanga hoja ni hoja gani amewahi kujenga na baada ya kufukuzwa ndani ya CHADEMA? Danganya wajinga wengine. Publicity stunt itamcost. Alidandia hoja ya fedha za Uswis na kujigharamia fedha ya kwenda nje kufuatila wakati kulikuwa na chombo kilichoundwa kufuatilia ili kuficha ukweli watu kufahamu kuwa naye yumo katika walioficha fedha nje ya nchi ndio maana mpaka leo akiulizwa kuhusu majina ya wenye akaunti nje anapaniki
 
jipange kijana!

We unadhan kila sehem n sehem ya kuropoka tu! ZZK hana elimu ya kutisha (hata miye nimemuacha vidato, tehtehteh) ila anauwezo mkubwa wa kupanga hoja kuliko wana UKAWA wengi, hebu jipangen vzr muache kukurupuka! kwa kukurupuka huku mtaishia kupiga stori vijiwen tu.

Kajipange wewe viziri kabla ya kuja na vichekesho kama vya bi kiroboto,ukawa utaisikia tu na kushuhudia vumbi lake.
 
Agozo la chama Tawala ..ACT mnakazi kubwa sana kuudanganya umma wa Tanzania
 
Hoja zipi hizo alizowahi kuzipanga Zitto? Alichokuwa anafanya ni kudandia tu hoja za wenzake na kutafuta publicity. Mfano mzuri ni kuwa yeye mwenyewe anadai kuwa alianzisha hoja ya Buzwagi, EPA, MEREMETA, KAGODA na hata ESCROW na kuwa eti yeye ndie aliyeiangusha serikali. Je ni mkweli?

Kama ana uwezo mkubwa wa kupanga hoja ni hoja gani amewahi kujenga na baada ya kufukuzwa ndani ya CHADEMA? Danganya wajinga wengine. Publicity stunt itamcost. Alidandia hoja ya fedha za Uswis na kujigharamia fedha ya kwenda nje kufuatila wakati kulikuwa na chombo kilichoundwa kufuatilia ili kuficha ukweli watu kufahamu kuwa naye yumo katika walioficha fedha nje ya nchi ndio maana mpaka leo akiulizwa kuhusu majina ya wenye akaunti nje anapaniki

Hiyo ndio sura halisi ya zzk
 
Kuna watu humu especially bavicha wamegeuka kuwa misukule pale wanaposikia jina la Zitto. Wanasema wameishamzika huku 24/7 kumjadili tehtehteh

Kama wewe unavyo ijadili bavicha saa hizi
 
Mkuu wangu Mkandara hawa jamaa wanashangaza sana wanahangaika na msaliti ambaye wameishamfukuza.

Mnaliwazana baada ya kuumbuka,na bado mtawajuwa watanzania mwaka huu
 
Last edited by a moderator:
Kama kweli wao ni wanaharakati hawakutumwa, ebu watuonyeshe video walizo muuliza maswali Kinana maana CCM ndiye watapambana kwenye uchaguzi huu..
Najua hakuna hata mmoja wao kwa sababu hawa wote wanaifanya kazi ya CCM na ndio maana wengine wanasema bora Mwandosya, sijui Magufuli wengine Lowassa toka zizi lile lile. Huyo Dr. Slaa ni mapenzi ya uongo mtupu maana wanajua hawezi kushinda wameshabomoa ngome zote za Chadema.

Endelea kuishi kwa matumaini kuwa cdm imebomoka
 
Back
Top Bottom