Inaonekana unajua mengi.!
You quote me wrong, mi nanukuu tu, ni taarifa yetu umma, kujua ni haki yetu
Inaonekana unajua mengi.!
naona unasahau slogan ya jamii forums, home of great thinkers, so once you are in, your job is to thinkInaonekana unajua mengi.!
Mods hawako fairMods bana..... Ile taarifa ya polisi wanaitoa ila hii ya global mpaka sasa bado ipo tu..... Aisee, whats wrong na hawa watu wakuu
Mods bana..... Ile taarifa ya polisi wanaitoa ila hii ya global mpaka sasa bado ipo tu..... Aisee, whats wrong na hawa watu wakuu
labda alilala halafu mkanda wake ukajichomoa labda? Au sijui ukachomolewa labda sijui na nani sasa? Au naota?
1-Kama ilikuwa imara ndo asife,je alimofia hayati Sokoine haikuwa imara kama hii ya jamaaako?1. Gari yake haijaharibika kabisa na tunaaambiwa iliacha njia na kupinduka tunajua sababu kubwa ya magari kuacha njia ni kupasuka kwa matairi lakini hili gari la Mchungaji Mtikila hakuna tairi liliposuka. Sasa tuambiwe sababu ya kuacha njia na kupinduka ni nini?
2. Mchungaji Mtikila hana alipoumia au kubleed damu.(Labda iwe kafa kwa mshtuko wa moyo au internal wounds. Kwenye picha anaoekana hajaumia hata kidogo hata nguo alivozavaa zikiwa hazijachanika hata kidogo.Sasa tuambiwe sababu gani nyingine iliyopelekea kifo chake?
3.Tunaambiwa ajali alipata SAA 11 alfajiri Chalinze kwaa asili ya eneo la Chalinze ni eneo bize sana kwanini picha iliyosambaa inaonesha ni asubuhi kabisa kumekucha ina maana ajali yake haikushtukiwa na watumiaji wengine wa Barabara mpaka asubuhi.
Angalizo sijamlaumu mtu yeyote kwenye hii ajali ila ni maswali ambayo nilikuwa najiulza binafsi sasa nawaomba msichafue hali ya hewa.
FaizafoxyImagine, nyie wanaume kuna mtu anasafiri long trip kavaa suit kwenye gari dogo?
Hard to believe. I have a feeling he was dead before the "accident".
ALWATAN KIZIGO
Muuaji wake anajulikana, hivi karibuni amemshambulia sana na akasema hafai kwenda Ikulu. Huyo huyo muuaji ndiye aliyetuma watu kumvamia Humphrey Polepole nyumbani kwake Mbezi beach.
1. Gari yake haijaharibika kabisa na tunaaambiwa iliacha njia na kupinduka tunajua sababu kubwa ya magari kuacha njia ni kupasuka kwa matairi lakini hili gari la Mchungaji Mtikila hakuna tairi liliposuka. Sasa tuambiwe sababu ya kuacha njia na kupinduka ni nini?
2. Mchungaji Mtikila hana alipoumia au kubleed damu.(Labda iwe kafa kwa mshtuko wa moyo au internal wounds. Kwenye picha anaoekana hajaumia hata kidogo hata nguo alivozavaa zikiwa hazijachanika hata kidogo.Sasa tuambiwe sababu gani nyingine iliyopelekea kifo chake?
3.Tunaambiwa ajali alipata SAA 11 alfajiri Chalinze kwaa asili ya eneo la Chalinze ni eneo bize sana kwanini picha iliyosambaa inaonesha ni asubuhi kabisa kumekucha ina maana ajali yake haikushtukiwa na watumiaji wengine wa Barabara mpaka asubuhi.
Angalizo sijamlaumu mtu yeyote kwenye hii ajali ila ni maswali ambayo nilikuwa najiulza binafsi sasa nawaomba msichafue hali ya hewa.
View attachment 294725
AJALI Mambo matano ya kuyafahamu kuhusu Kifo cha Mchungaji Christopher Mtikila .. (RIP)
October 05 2015 ni siku ya pili inaisha tangu litokee tukio la ajali ya gari ndogo katika Kijiji cha Msolwa, Chalinze Mkoa wa Pwani ambapo ndani yake kulikuwa na watu watatu pamoja na Mwanasiasa Mkongwe Tanzania, Mchungaji Christopher Mtikila-ambaye alifariki kutokana na ajali hiyo.
Tangu kutokea kwa ajali hiyo mambo mengi yameongelewa kuhusu ajali na kifo chake, mazingira ya ajali? Marehemu kutokuwa na jeraha? Mchungaji kufariki na wengine kupona? Ripoti ya Hospitali? Mazishi?
Familia ya Mchungaji Mtikila imeweka kila kitu sawa >>>> Mchungaji Christopher Mtikila alipata ajali majira ya saa 11 Alfajiri eneo la Msolwa Chalinze, bahati mbaya alikuwa hajafunga mkanda na gari ilikuwa speed Kulikuwa na gari llilikuwa lime-overtake upande wao, dereva wao akakwepa kwenda kushoto.-Victor James Manyai, Msemaji wa Familia.
Victor James Manyai, Msemaji wa Familia.
Hapa Msemaji wa Familia anasimulia mazingira ya ajali ilivyokuwa >>> Eneo lile barabara imeinuliwa juu zaidi na eneo la pembeni limeshuka chini.. gari lilipaa juu, liliposhuka chini matairi yakapasuka yote, kwa sababu hakuwa amevaa mkanda akatokea mbele ya kioo cha gari.. alipoenda kuangukia, gari likaenda kumfunika upande wa kushoto, akawa hawezi kupumua.--Victor Manyai.
Watu wengine walitoka na Majeraha kwenye gari, nini kilifanya Mchungaji afariki pekeyake? >>> Ilichukua muda kwa sababu walikuwa watu wanne, mmoja alikuwa ameumia zaidi, mwingine alitupwa mbali ilibidi mpaka wasamalia wema waje kusaidia kumuinua walijaribu kumsaidia lakini hakuweza kupumua tena.
Baadhi ya waombolezaji wakiwa msibani.
Kuna stori kwenye Mitandao ya Kijamii kuhusu kifo chake huku wengine wakihoji kwa nini mwili wa Mchungaji Mtikila haujaonekana kuwa na majeraha yoyote? >>> Mimi nilikuwepo katika Kikosi cha watu waliofanya postmortem pale Kibaha, tulikuwa na madaktari wanne, madaktari wawili wa Familia, mmoja wa Polisi na mmoja wa Hospitali ya Kibaha sio kweli kwamba hana majeraha, alikuwa na majeraha kichwani na miguuni, ila siwezi kutaja siri za Marehemu ni kinyume cha maadili...-Ukweli ni kwamba alikosa hewa, na kama kungekuwa na msaada wa dharura maisha yake yangeokolewa >>>
Mke wa Marehemu Mchungaji Mtikila.
Gari alilopata nalo ajali je? >>> Ukweli ni kwamba gari lilikuwa limekodiwa, Mchungaji alikuwa na magari mawili na yote yalikuwa katika Kampeni Mkoa wa Mara na jingine Wilaya ya Kahama Mimi ndio nilimkodia gari kwa madereva wa Taxi Mbezi mwisho, ni vijana ambao nawafahamu. >>>
Hii ndio Taarifa ya Familia kuhusu taratibu za kuaga Mwili wa marehemu na Mazishi >>> Mwili wa Marehemu kwa sasa upo Hospitali ya Lugalo, Jumatano tutaaga mwili wa Marehemu Karimjee au Leaders Club, baada ya hapo tutasafirisha mwili kwenda Wilaya ya Ludewa, Mkoa wa Njombe >>> Victor James Manyai, Msemaji wa familia