Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

mbona kama habari zote zinamlenga chadema what exactly unataka kusema.. kwani hakuna ccm waliokufa kwa ajali kama hizi.. akina moringe sokoine! tusipende kuwa na mawazo negative tuh! kila siku

Tunajadili ajali ya Mtikila hiyo ya Sokoine ifungulie thread yako.
Kuhusu uhusika wa Chadema, ni sehemu ya kuhoji. Sidhani kama inakwepeka.
 
Hilo lori liko wapi sasa?

Mkuu nakwambia hata polisi wanataka kuzima kesi na familia imetishiwa lakini maelezo ni ya kijinga!
Kwanza kabisa mtu kurushwa nje ya gari huvunjiki mbavu tu. Pili kuna maelezo kuwa gari lilimlalia. Hivi picha ile ya marehemu inaonyesha hata mkwaruzo? Gari kwa uzito wake ikikulalia unaweza kutoka bila damu?
Mwisho kabisa, ushahidi mbona umeharibiwa kama kweli alirushwa kutoka gari? Mbona shati lake limefunguliwa? Mkanda wake umefunguliwa? Hana viatu?
Kichwa kimezungushiwa kamba au tai? Kweli alikufa hivi? Na kama waligusa na kusogeza maiti basi wameharibu ushahidi na wanatakiwa wasaidie uchunguzi kwa maelezo zaidi.
Tunajua wafuasi wa Chadema mwanzoni walitaka kutumia kifo hiki kama mtaji wa kisiasa kuwatishia wananchi eti ukimsema tu Lowassa unakufa. Lakini baada ya maswali na utatanishi kuibuka wanataka kulazimisha mambo yaishe.
Kama ilivyokuwa kwa Chacha Wangwe, maswali hayatakwisha.
 
Gari iharibike vile afe mmoja tu wengine watoke wazima wamechubuka kidogo tu halafu marehemu alilaliwa na gari kusionekane majeraha kwenye mwili?hapa kuna kitu

Mkuu umeuliza maswali machache na ya msingi sana!
 
Mmezoea!kama wewe ni mtaalamu kasaidie polisi kufanya uchunguzi.acha kujificha huku jf kifungofungo.ooh hajatoka damu oh hajatoka mavi ooh..wewe daktari kafanye postmortem.acha kuingilia kazi za wataalamu.
 
Mmezoea!kama wewe ni mtaalamu kasaidie polisi kufanya uchunguzi.acha kujificha huku jf kifungofungo.ooh hajatoka damu oh hajatoka mavi ooh..wewe daktari kafanye postmortem.acha kuingilia kazi za wataalamu.

Ana Kichwa Kikubwa Akili Ni " NUKTA"
 
Mtoa maada is trying to think beyond reasonable doubt ila anaonekana uwezo wake wa kujenga hoja hauna uhalisia ila anataka tu kupotosha, ukisoma thread anasema eti UKIANGALIA PICHA ANAONEKANA HAJAUMIA, HALAFU HANA MAJERAHA, sasa mimi nilidhani una report kutoka field kumbe una extract picha kutoka kwenye mtandao.Next time try to be smart with your arguments and justification

Amesahau Kuwa Huku Ni "Great Thinkerz"
 
Polisi si wametoa report... Kwa nn are mmoja, Je ni rahisi kuacha shahidi.
 
Duh!! Noma sana
 

Attachments

  • IMG-20151006-WA0001.jpg
    IMG-20151006-WA0001.jpg
    24 KB · Views: 508
Nilipozoom picha ya ajali ya Mtikila nikaunganisha na maelezo ya polisi. Nimekubaliana na polisi kwamba kulikua na uzembe kwa upande wa dereva kupuuza alama za barabarani. Mwendokasi ndio sababu ya kupinduka kwa gari..ukitaka kuthibitisha zoom ile picha inayoonesha askari traffic utaona katikati ya nguzo ya umeme na trafik kuna kibao cha kuonesha kilometer 50 kwa saa kama mwendokasi elekezi
 
No vyema tukapunguza maneno ya kukisia na kuhisia; yeyote anayetaka kujua kwanini huyu Mzee kafariki aende akamuulize aliyemuumba (Alpha na Omega, Mungu Mwenyezi-Ufunuo 3:8) kwa conditions zifuatazo: 1. Awe mwana wake na 2. Awe mcha wake. Vinginevyo ni bora kukaa kimya (Mithali 13:3).
 
Alikua hodari kufungua kesi dhidi ya serikali ..lakini pia aliwashtaki waislam wasipate mahakama ya kadhi..sijui hukumu ilitolewa au aliacha
 
Watanzania tunaamini kwenye mambo magumu na ambayo hayaeleweki sana na kuacha mambo rahisi kuelezeka. Kifo cha Mtikila kilitokea asubuhi... hii inaonyesha dereva aliendesha usiku kucha, na gari kuacha njia inaonyesha dereva alikuwa amechoka na pengine alikuwa na usingizi. Mtikila ni national figure lakini alikuwa anatumia gari ndogo sana (Corola au Chaser sijui), the type of car is light and very speedy.
 
Watanzania tunaamini kwenye mambo magumu na ambayo hayaeleweki sana na kuacha mambo rahisi kuelezeka. Kifo cha Mtikila kilitokea asubuhi... hii inaonyesha dereva aliendesha usiku kucha, na gari kuacha njia inaonyesha dereva alikuwa amechoka na pengine alikuwa na usingizi. Mtikila ni national figure lakini alikuwa anatumia gari ndogo sana (Corola au Chaser sijui), the type of car is light and very speedy.

Your point is?
National figure ..then gari ndogo sana? Tunazungumzia circumstances alizokutwa.
Maswali tuliyoyaweka hayajajibiwa katika ripoti ya polisi
 
Tangu Kuanza kwa Mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania Hakuna amani kwa Viongozi wa Kisiasa. Tutazidi Kusikia vifo vingi vya Wanasiasa Wakubwa. Na baadhi ya Vifo vyao vitakuwa ni vifo vya kutengenezwa kwa njia yoyote ile iwe ya Elimu ya Sayansi ya Giza au vifo vya kutengezwa kwa ajali ya gari. Kifo cha Mchungaji Mtikila sio kifo cha kawaida kuna njama zilizo tumika kumuondoa Uhai wake Mzee Mtikila sio kifo cha kawaida. Lakini Mlipaji ni Mungu ingawa Binadamu ataficha ukweli wa mambo lakini Tumuachie Mungu ndie Mlipaji wa yote tunayo yatenda.
 
Wakati wanamtoa chini ya gari, hilo gari hawakuligeuza? Au walimchomoa kama mwiba?
 
Wakati wanamtoa chini ya gari, hilo gari hawakuligeuza? Au walimchomoa kama mwiba?

Mkuu swali hili nalo halina jibu. Haya wakati wa kumtoa kutoka chini ya gari walitumia technique gani bila hata kumkwaruza au kumtoa damu? Mwili ulipokutwa hata vioo vya gari hakuna! Mkuu hii danganya toto!
 
Sasa Mchunguaji Mgaya nae yupo njiani Maana ndugu nao wanamipango yao tena maridadi sana!

Kwa hakika Mgaya jiandae kupatwa na zimwi kubwa
 
Mkuu swali hili nalo halina jibu. Haya wakati wa kumtoa kutoka chini ya gari walitumia technique gani bila hata kumkwaruza au kumtoa damu? Mwili ulipokutwa hata vioo vya gari hakuna! Mkuu hii danganya toto!

Mgaya Nae atamfuata Mtikila soon tena kwa hali ya maumivu Makubwa zaidi ya Mtikila

Mtikila tunajua mlichomfanyia,tunajua kila Kitu Kwani hakuna kisichojulikana hapo, mchezo mzima unajulikana Lakini wote walioshiriki kwa namna Moja Au nyingine mambo yanawiva soon
 
Back
Top Bottom