MillionHairs
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 803
- 406
Mie naona kama vyumba vya upasuaji.....kweli tembea uone....sasa mfano huyo dada kalala hapo...hyo mashine nyeupe pembeni inamfanya nn??
Ha ha haaa...wala hujakosea ni kweli tembea uone. Hiyo ni mashine ya facial na hapo pembeni kuna Sauna steam bath.
Hizo ni huduma za skin care treatment na zinatolewa na staff professionals wenye ujuzi wa hali ya juu kama hospital.