Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,582
Thamani ya uchi wa mwanamke hapa dar huondolewa na pesa tu.
Thumb up
Thamani ya uchi wa mwanamke hapa dar huondolewa na pesa tu.
Angalia background history ya wamiliki wa massage parlours zote, wengi wao walikuwa machangu wa kimataifa
Nachosema massage parlours syo Zote zenye mambo hayo lkn asilimia kubwa zinafanyika
Na mimi nimetoka kufanya massage muda huu...na nimeshagegeda wawili...kwa hiyo ni kweli....
Massage rooms kuna usiri inategemea makubaliano kati ya mteja na mfanyakazi wakikubaliana wanafanya lakini gharama ipo
Unatumia dozi mpaka ukaikataa 'huduma' jioni ukawa bar???dozi iliishia wapi???? ehee uwongo njoo utamu kolea!!!
MillionaHairs kuna Uzi huku umeitwa....mchango wako wa Leo tofauti na kwenye huo Uzi..Jf haitunzi wanafikiHapo sasa...ndio maana mm nasema waliowengi ni watu wakunogesha stori za hear say na wanakuja kuzileta hapa JF' au kama ni kweli alifanikiwa hilo swala basi usikute yeye ndiye alianza kumshawishi huyo staff hadi akaingia king.
Mkuu unajiweza kuzuia dushelele lisianze kunyanyuka kwa muinuko wa slogani ya kidumu chama tawala?
Chukua twenty ya huduma ya full massage,na twenty nyingine ya extra.
Panda basi/usafiri wako binafsi hadi Kinondoni,ukiwa unatoka Kawawa Road katiza kama unaenda Kinondoni makaburini...vuka Abbas Tarimba House,zidi kwenda,achana na Mtaa wa Ufipa yalipo makao makuu ya Chadema,we shukaaaa...mbele kushoto,kuna barabara inapakana na ukuta wa Kanisa nafikiri ni la Pentekoste,mbele utaona Bango linakuonesha Massage Parlour..shuka na hako ka njia..kama nyumba ya tatu kushoto kwako.
Hapo utaingia,ukigonga ni kama mlango umefungwa,lkn ni gear za walioko ndani kumjua mteja kama ni mtu mwema au laa,utafunguliwa na utakuta watoto wazuriiiii,wengi wao ni kutoka mkoa fulani kaskazini ya mbali...Utajichagulia unayemtaka,ataingia chumbani amevaa nguo za mtego na ushawishi wa hali ya juu..utaulizwa uoge na aina ya maji,utambiwa uvue nguo na upewe taulo.
Baadae utaitwa bafuni ni kupewa maji ya uvuguvugu,unaoga then ukirudi chumbani faragha unamkuta mtoto kapulizia unyunyu,taa za mfifio,mziki wa slow jams kwa mbaaaaliiiii,utaulizwa unataka hard massage au soft massage??Ya Poda au ya lotion yenye mchanganyiko wa vilainisha misuli,baada ya hapo unatoa mpaka boxer unabaki na taulo na kulalia tumbo...Unafanyiwa massage kuanzia ukuchani mpaka utosini,baadae anakuomba msamaha kwa sauti ya mbaaliiii,anomba umtoe blauzi mana ni joto,na ametumia nguvu kukusugua so anasweat,baadae anaomba apande akukalie mgongoni ili akunyooshe mabega na kukanda kiuno chako,akipanda anakukalia mgongoni(uzuri wengi wao ni portable,so usihofu)!!!ooops,anakuwa hana kufuri,halafu uwanda wa papuchi umenyolewa kwa mbaaliiii,so zile nyasi korofi za kwenye papuchi unazisikia zinakuchomachoma mgongoni...Jamani duniani kuna rahaaaaa!!!
Utasuguliwa mpaka misuli inalainika,unakuwa mwepesiiiii,shughuli sasa ukigeuka aanze massage ya mbele.....weeeee weeee hapo kama ni Ijumaa kuu,basi kituo cha tisa..."Mkristo kaza Moyo shetani anapita...
Unakusugua,anafika ikulu,kama anapita mwambaomwambao mwa dushelele hivi,anaenda kulia kama anaenda Singida,mara anarudi Dodoma,tena anakuja kama anapita kwenda Njia ya Kondoa ghafla anageuzia mnadani....anakuja kichwani anafanya massage ya kichwa,kichwa kinakua lainiiiiii,anakuja kifuani..akiinama lazima chuchu zikuguse kifuani....mara unaanza kuhema,na wanajua sana kuwa umezidiwa,Utasikia anasema "do u want extra service...ukijibu tu,anakwambia ongeza hela...hapo ndio watu wanafilisiwaga hadi nauli mtu anazinduka na akili timamu hana hata mia.
N:B Kwa afya ni nzuri,usije ukakiuka masharti,mi nimekupa ili upate tiba.....
Ole wao wale wasasabishao wenzao watende dhambi na kukwazika,ingelikuwa heri kwao wafungwe jiwe kubwa shingoni na kutupwa ktk kina cha bahari
Hapana, mara ya kwanza kabisa ulisema asilimia kubwa kama siyo zote wanafanya uchafu huo...na mimi nikakuambia acha na na stori za vijiweni' kwani ni asilimia ndogo sana ndio wanafanya uchafu huo tena ni visalon vya uchochoroni huko.
Inaelekea wewe ni mdau wa haya mambo. Unaweza kunitajia sehemu ambazo ni real professionals kwa hapa dar?
MillionaHairs kuna Uzi huku umeitwa....mchango wako wa Leo tofauti na kwenye huo Uzi..Jf haitunzi wanafiki
Zipo nyingi sana...wewe unaishi maeneo gani? I mean nataka nikupatie unafuu wa masafa
Nakaa mbezi ya kimara
Okay Mkuu, kwa Kimara sijui...ila unaweza kwenda pale Ubungo plaza lile jengo lenye blue peal hotel, mule ndani kuna massage parlour japo sijui ni floor ya ngapi. Au nenda Samu Nujoma road karibu na Mlimani city kuna jengo linaitwa mawasiliano house...hapo ndani kuna beauty clinic lakini nimesahau jina lake. Nenda na utafurahia huduma zao ila ngono hakuna