Massage Parlours/madanguro

Biblia inasema 'Kumcha Mola ni chanzo cha maarifat', na pia M/Mungu anasema 'watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifat'..

Kama maoni mengi yanaonekana kusupport mambo ya ukahaba, nadhani ni ndoto kwa jamii yetu kujikwamua na umasikini na madhila mengine yanayoizunguka jamii yetu. Kwa maoni yangu sisi watanzania tusipojifunza kumcha M/Mungu tutaendelea kujiangamiza na kuandamwa na madhila ya kujitakia achilia yale ya laana kutoka kwa M/Mungu.

Mkuu Abdulhalim,

Umasikini ndio chanzo cha mambo kama haya. Ukitaka mambo haya yaishe kwenye jamii, njoo na mipango endelevu ya kuondoa umasikini, otherwise tutaendelea kulaumu kumomonyoka kwa maadili, ukahaba, matumizi ya madawa ya kulevya n.k. Umasikini ndiye adui yetu namba moja kwa sasa.

Tiba
 
Penal code inasema hivi,146. Woman living on, or aiding, prostitution A woman who knowingly lives wholly or in part on the earnings of prostitution or who is proved to have, for the purpose of gain, exercised control, direction or influence over the movements of a prostitute in such a manner as to show that she is aiding, abetting or compelling her prostitution with any person, or generally, is guilty of an offence. Ukisoma kifungu hiki kilivyokuwa drafted toka mwanzo mpaka mwisho utaona dhahiri kuwa prostitution sio kosa, kosa ni kuishi wholly or in part on the earnings of prostitution. Kwa kuangalia vizuri utaona kuwa kuwa kuwa na majumba ya prostitution nndio kosa lakini sio kufanya prostitution.Hebu mijuze wewe binafsi unakionaje kifungu hiki???????

Mkuu,

Naona hicho kifungu kimepitwa na wakati kwani prostitution haifanywi na wanawake tu hata wanaume mashoga wanafanya.!!!!

Tiba
 
Mume wqngu alikuwa na tatizo la bega 'cold shoulder' akaambiwa na doctor afanyiwe massage mara 3-4 atapata nafuu pamoja na kumeza dawa. Kaenda kwenye massage parlour kinondoni vituko alivovikuta ikabidi akimbie kaomba nimkande mimi kanunua liniment.Hivi tuendako mbona hatari?
 
Naomba wanajamiiforum mliongeree hili ikiwezekana serikali iweke mashariti vyumba viwekewe CCTV kuzuia uasherati unaofanyika humo.
 
Walikubaka? Walikuita? Uliwalipa au walikupa huduma bure?
 
Kama hakuna kamba inayotuvuta kwenda huko...na ni utashi wa mtu mwenyewe na nye.ge zake kuna haja gani serikali kuingia gharama za kipuuzi kama hizo...wazinzi hawazuiliki labda wakatwe vifanyio ndio wataacha....watu wanadinyana hadi BBA live kabisa na familia yake na ulimwengu mzima ukimshuhudia sembuse hao wa sebuleni....
 
Remember that is bss man! Wanalipa kodi hao!
Chet cha ndoa uliwahi ona kinapelekwa saloon?

Think BiG
 
Naomba wanajamiiforum mliongeree hili ikiwezekana serikali iweke mashariti vyumba viwekewe CCTV kuzuia uasherati unaofanyika humo.
kweli nyingi ni madanguro ili sio zote!. Lengo la kufanyiwa massage is for relaxation, wengine kwenye kukamilisha relaxation zao, ndio pamoja na kufanyiwa huduma hizo za ziada na zinalipiwa ziada!.

Haija haja serikali kuzifunga, bali sasa zipewe leseni rasmi za brothel za zilipe kodi!, kazi hiyo ambayo ndio the oldest professional itambuliwe rasmi, ili itozwe kodi, haswa kwa kuzingatia hiyo ndio fani inayoongoza kwa ajira nyingi kabisa kuliko ajira nyingine yoyote, sio tuu Tanzania, bali dunia nzima!, biashara hii ipo hadi Vatican City!, sijui tuu kuhusu Mecca!.

Unaweza kunisoma zaid, nikiizungumzia hapa.

Opinion: Is It Not, Its High Time, Tanzania Tuhalalishe

Na kuhusu saloon za massage, nimezizungumza hapa

Massage Saloon (Massage Parlour) -
.

Massage Parlours/madanguro - Page 4 - JamiiForums | The Home ...
Pasco
 
Tafadhali fafanua kwa faida ya wasomaji! HUU NI MSEMO MZITO SANA
WoS

Umepotea sana humu jf!.

Zipo ndoa zimeweza kudumu kufuatia ma baba kupata huduma hizi elsewhere na kurejea nyumbani kwa ajili ya kudumidha tuu ndoa, yaani togetherness kwa ajili ya watoto but not for marital services!.

Pasco
 
Overgeneralization ni hatari katika kujenga hoja.Unaposema KILA MTU amebariki ukahaba,nashindwa kukuelewa.Labda useme baadhi ya watu (wengi au kidogo,inategemea mtazamo) wamebariki ukahaba kutokana na ushiriki wao kwenye shughuli hiyo (makahaba wenyewe,pimps,watumia huduma hiyo,etc).Na washiriki pia wanaweza kugawanywa katika makundi ya wanaofanya hivyo kutokana na sababu za kiuchumi na wale wanaofanya kwa starehe zao.

Ukisema "hata viongozi wa dini wanajua hilo" basi hata ufisadi,ujambazi,utumiaji madawa ya kulevya,ulawiti,na madhambi yooote tunayoyajua pia yanajulikana kwa viongozi wa dini.But,kujulikana hakumaanishi kuhalalisha.Kujua kwamba kuna ufisadi Tanzania hakumaanishi kuhalalisha ufisadi.Na kujua kuwa kuna kuna watu wanaua maalbino hakumaanishi kuhalalisha vifo vya maalbino.Kimsingi,viongozi wa dini wanapaswa kujua kuhusu madhambi kama ukahaba ili waweze kuwaongoza waumini wao ipasavyo.Kujua huko hakumaanishi kuhalalisha dhambi hiyo.Usafi au uchafu wa viongozi hao ni suala tofauti na halihusiani na sifa stahili za kiongozi wa dini.Baadhi ya viongozi wa dini kuwa wateja wa makahaba hakumaanishi kuwa dini inaruhusu ukahaba,just like kukithiri kwa rushwa Tanzania hakumaanishi kuwa rushwa ni halali.

Again,kuwepo kwa makahaba kila sehemu hakumaanishi kuwa ukahaba ni halali just like kuwepo kwa ukimwi duniani kote hakumaanishi kuwa ukiwmi sasa si ugonjwa.Au kuwepo wa biashara ya unga takriban kila kona ya dunia hakumaanishi kuwa biashara hiyo ni halali.Same could be saidi about kutapakaa kwa ujambazi,rushwa,ubaguzi wa rangi,utumikishwaji wa watoto,na maovu mengine katika jamii.Yapo takriban kila sehemu,lakini hiyo sio sababu ya maovu hayo kuwa halali.Uhalali wa kitu sio kutapakaa au kuenea kwake bali kuendana na mila,desturi,sheria na taratibu za jamii husika.

Ukahaba unawawezesha makahaba kutunza familia zao,lakini hata ufisadi nao unawawezesha watu kutunza familia zao,so does ujambazi,biashara ya madawa ya kulevya,utapeli,ukabaji,nk.Je hivyo navyo vihalalishwe kwa vile tu vinawawezesha watu kutunza familia zao?

Na tukishawatambua makahaba kisha tukawatoza kodi,what about hao watenda maovu wengine katika jamii?
Binafsi Napata ukakasi kumuelewa ndugu yangu Shy....kwanini hili analitetea wakati yeye mwenyewe anajua kabisa kuwa lipo kinyume na maadili na vile vile hata kwenye vitabu vya dini limekemewa....kuwa yeye mteja mkubwa wa hawa viumbe hakuufanyi ulimwengu mzima kuuhalalisha ukahaba...nadhani ndugu yangu anaongozwa na hisia zaidi kutetea hii pasipo kuangalia uhalisia na madahara yake kwa taifa kwa ujumla wake...sidhani kama yuko radhi kuona binti yake mpendwa anaingia kwenye biashara hii achilia mbali ndugu zake wa karibu.....anaifurahia huduma kwa kuwa watu anaowakuta kule ni watu ambao hafahamiani nao....sidhani kama atafurahia endapo ataingia kwenye hizi meseji paloo alafu akiagiza huduma yake analetewa dada yake au mwanae wa kike ambaye alimuaga nyumbani kuwa anaenda shule.....ukahaba ulikuwapo tangu Enzi za mitume,haujaanza sasa lakini pamoja na ukongwe huo MUNGU hajawahi kuuhalalisha eti kwa kuwa inawasaidia watu kuendesha maisha yao.........
 
Back
Top Bottom