Tiba
JF-Expert Member
- Jul 15, 2008
- 4,604
- 3,163
Biblia inasema 'Kumcha Mola ni chanzo cha maarifat', na pia M/Mungu anasema 'watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifat'..
Kama maoni mengi yanaonekana kusupport mambo ya ukahaba, nadhani ni ndoto kwa jamii yetu kujikwamua na umasikini na madhila mengine yanayoizunguka jamii yetu. Kwa maoni yangu sisi watanzania tusipojifunza kumcha M/Mungu tutaendelea kujiangamiza na kuandamwa na madhila ya kujitakia achilia yale ya laana kutoka kwa M/Mungu.
Mkuu Abdulhalim,
Umasikini ndio chanzo cha mambo kama haya. Ukitaka mambo haya yaishe kwenye jamii, njoo na mipango endelevu ya kuondoa umasikini, otherwise tutaendelea kulaumu kumomonyoka kwa maadili, ukahaba, matumizi ya madawa ya kulevya n.k. Umasikini ndiye adui yetu namba moja kwa sasa.
Tiba