Full body hadi kule kwenye nanilihu?
Nipe aina za masaji na faida zake mwilini.
Hilo swali la kwanza sitakujibu...maana limekaa kihuni na utoto utoto fulani hivi.
Swali la pili ninakujibu kama ifuatavyo: Kwanza kuna aina nyingi sana za massage ila leo nitakuelezea tatu tu.
(1) Aroma therapy massage...hii ni massage ya tiba kwa mtu mwenye matatizo ya viungo' mara nyingi ufanywa na watu wa
liopata ajali au wale wenye magonjwa ya kupararaizi. Kwa kawaida massage hii yakupasa uhudhurie clinic kila siku jioni
au uifanye kwa wiki mara mbili kutegemeana na tatizo lako. Unaweza kupona bila ya kutumia dawa za hospital.
(2) Hot Stone Massage...hii ni massage ya tiba pia'lakini hii ni special kwa mgongoni tu. Hii ni massage ambayo inafanywa
kwa kutumia mawe maalum yaliyochemshwa na maji. Unaweza kuzungusha mawe mwili mzima,lakini hii ni maalum kwa
mgongo na kiuno tu. Hii ni mzuri kwa madereva wa masafa marefu na watu wanao fanya kazi za kuinama hasa kupindi
sha mgongo na shingo kuanzia asubuhi hadi jioni. Ni moja kati ya massage tamu sana na inaondoa stress.
(3) Deep tissue massage...hii ni relaxation massage' massage ya starehe na kuondoa stress za hapa na pale. Hii ni massage
ambayo unaweza kuifanya kutokana na uchovu wa kazi au ukiwa na msongo wa mawazo(stress) hii ndiyo aina pekee ya
massage ambayo muhudumu atakuuliza wewe mteja kuwa unataka aifanye Hard au Soft?. Massage hii ni mzuri kwa kila
mtu...but kuanzia miaka 22 na kuendelea.