mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 93,986
- 132,350
Tatizo unatupa maujanja hutaji bei. Naomba uniPM basi
Lazima bei itakuwa ni maumivu!
Tatizo unatupa maujanja hutaji bei. Naomba uniPM basi
Ha ha haaa!!...nacheka sana. Wala sitangazi biashara mkuu wangu ila am happy nimekupa darasa la kutosha kuhusiana na massage parlours. Kama utakuwa na maswali mengine kuhusiana na huduma za kwenye masalon usisite kuniuliza.
Je,umewahi kufanyiwa Natural skin steamer full body scrub?
Lazima bei itakuwa ni maumivu!
IPO wapi hii na kwa wa mama hii Huduma ipo na ni kiasi gan na mawasiliano vp
sio massage parlours tuu,mimi nilikutana na mtu wa pedicure,jamaa alinisugua miguu na na kusafisha kucha alivyokaribia kumaliza akaniambia nafanya na massage nkamshukuru akaniambia na huduma nyingine pia unapata kwa 50,000 nkamuuliza huduma gani?nilikua na rafiki zangu ikabidi tuanze kumuuliza akaniambia sikuiz wake wengi za watu na madada wa mjini tunasaidiana nkamwambia kaka ahsante sana
hizi tabia zipo na hata saloon nmeona pia wakijinadi tembelea saloon utajionea
Kwanza hiyo body treatment umeisoma na kuielewa? Naona Mkuu wangu umekimbilia kwenye mambo ya kuoga...ha ha haaa
mi kwangu muhimu ni hapo tu. Na hivyo umesema amevalia mavazi ya kinesi? mashalaah. Nani hapendi kuogeshwa na nesi? :eyebrows:
Si ndo aiseme sasa ukipanga kwenda ndo ujue unabeba kiasi gani kwenye wallet,? Unaweza kubeba kilo 4 kumbe ni milion 2
Ha ha haaaa!! Daah nimecheka sana...wa Bongo bwana!!?. By the way nimeipenda avatar yako...huyo jamaa ni mrefu utadhania mtusi.
ni mtusi kweli, ndio maana huyo nesi wa kumuogesha kazi anayo....
Garama zao zina we fika 1 mln hawa
nilikuwa na mpango kufingua hii kitu massage. unadhani nimekosea mkuu, nikiweka sheriA ya kutongoana , itakuaje
Ha ha haaa...acha kunivunja mbavu zangu! Kama ni kweli uko mrefu namna hiyo basi kweli kazi hipo. By the way kwenye huduma hiyo huogeshwi...bali unaoga mwenyewe.
Sidhani...haiwezi kufika kote huko. Nahisi inaweza kucheza kuanzia 150,000 hadi 300,000...nafikiri haiwezi kuzidi hapo japo sina uhakika.
hiyo huduma ya ziada ni kwa wanaume tu au na wanawake pia?
Haya mambo au hizo taharifa ni habari za kufirikika na hisia zenye mihemuko tu...kwani hadi sasa hakuna alieleta ushahidi wa kimantiki zaidi ya porojo tu...mra oooh hivi mara oooh vile na blah blah kibao. Ukitaka kuamini kama hizi habari ni za uongo jiulize swali hili dogo tu-:
Inakuwaje member anaeleta au kuadithia stori hiyo hapa JF anatumia ID fake...sasa anaogopa nini kutaja jina la Salon au massage parlour aliyokwenda na akakuta uchafu huo? Ukimwambia ataje hata jina la staff anaefanya uchafu huo pia anashindwa ilihali hapa anatumia ID fake. So jibu lake ni rahisi sana...hizi habari zimejaa kufirikika kuliko uhalisia
Kama unataka kufanya biashara hii kwa mtindo huo na wateja wako wanakuwa dizaini ya MRANGI, BARAFU, BULL DOG na wewe mwenyewe...na wahudumu wako unakwenda kuwazoa Corner bar Sinza basi fanya na faida yake utaiona. Ila kama unataka kuanzisha biashara hii ki professional basi nisome mm between the line kutoka kwenye comment zangu zote na biashara yako itafanikiwa
Naona #MillionHairs umeamua kunidhalilisha.....Asante!!!