Massage Parlours/madanguro

Massage Parlours/madanguro

Ingawa hii thread ina miaka 8 sasa
naomba utusaidie nasikia Nairobi wameipitisha sasa kuna Madanguro yenye Leseni
au Biashara hii ya Chap-chap ni halali kwa Mji wa Nairobi kweli? au uzushi

Tembelea nairobiraha.com
 
Wewe una saluni yako? Maana hizi inaonyesha hata mwenyewe huzijui vizuri..mimi naweza kuzifuata hukohuko zilipo.

Mimi huwa nimezoea kupata hii huduma japo mara moja kwa miezi mitatu..hii ni tiba kwangu. Toka nirudi hapa sijawahi kupata huduma nzuri nikaridhika. Kuna sehemu nilijaribu tena sio vichochoroni nikakutana na hayo ya extra, ila siwezi kuzitaja hapa saloon zenyewe.

Ha ha haaaa!!!...mimi sina Salon ila mimi ni mdau wa mambo ya salon na urembo kwa ujumla. Ngoja nikutajie sehemu 2 ambazo hautojutia pesa zako na mda wako.

Nenda Shoppers Plaza floor ya pili kuna massage parlour inaitwa Touch Spa. Au nenda Million Hairs Salon (maybe this is the best salon in Dar). Hizi salon zote mbili ziko Mwai kibaki road Mikocheni kwa Mwl.nyerere.
 
Ha ha haaaa!!!...mimi sina Salon ila mimi ni mdau wa mambo ya salon na urembo kwa ujumla. Ngoja nikutajie sehemu 2 ambazo hautojutia pesa zako na mda wako.

Nenda Shoppers Plaza floor ya pili kuna massage parlour inaitwa Touch Spa. Au nenda Million Hairs Salon (maybe this is the best salon in Dar). Hizi salon zote mbili ziko Mwai kibaki road Mikocheni kwa Mwl.nyerere.

Nataka hio ya milion hairs nielekeze ilipo. Roughly inaweza kuwa bei gani hivi kwa saa au huku mnalipaje?
 
Mnyepe, nenda sehemu moja kati ya hizo mbili...hakika hautojutia pesa zako na mda wako. Wana Aroma therapy massage,Thai massage,Deep tissue massage na Hot stone massage. Hizo ni very professional salon na wanakupa very professional service.
 
Barafu, nakusubiri uniletee hizo comment ambazo zinaonesha unafiki wangu ili tuendelee...karibu sana mkuu

Mkuu duh siwezi taka majina hahahaha naona napiga ikulu mdau....sekta yako hiyo najua
Sahv nko jirani 4 ways hapa kna masage parlour Hahaha nasikia kugegedana kama kawa
 
Mnyepe, nenda sehemu moja kati ya hizo mbili...hakika hautojutia pesa zako na mda wako. Wana Aroma therapy massage,Thai massage,Deep tissue massage na Hot stone massage. Hizo ni very professional salon na wanakupa very professional service.

Sawa dada ila naona umegoma kutaja bei..sawa ntakwenda hio ya milion hairs halafu ntaleta mrejesho hapahapa
 
Mnyepe, nenda sehemu moja kati ya hizo mbili...hakika hautojutia pesa zako na mda wako. Wana Aroma therapy massage,Thai massage,Deep tissue massage na Hot stone massage. Hizo ni very professional salon na wanakupa very professional service.

Vp nyie mko mwai kibaki road ofisi zenu syo
 
Nataka hio ya milion hairs nielekeze ilipo. Roughly inaweza kuwa bei gani hivi kwa saa au huku mnalipaje?

Million Hairs Salon ipo mikocheni kwa Mwalimu Nyerere barabarani kabisa mkono wa kulia unavyotokea Shopperz Plaza kwenda Kawe. Tupo jirani kabisa na sheli ya Puma...mkabara na Regency park hotel.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    571.5 KB · Views: 269
  • image.jpg
    image.jpg
    404.4 KB · Views: 241
Ofisini kwenu Massage mnafanya kihasi gani? Taja aina zote za massage na bei zake.

Kwa kawaida bei zao huwa hawazitoi kwenye mitandao...fika pale utapewa bei zao na utauliza na vitu vingine.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    435.2 KB · Views: 324
  • image.jpg
    image.jpg
    433.1 KB · Views: 295
  • image.jpg
    image.jpg
    409.9 KB · Views: 293
  • image.jpg
    image.jpg
    599 KB · Views: 296
MillionHairs imekaa poa sana hiyo karibu na Regency....Sema Massage bei zake zinakuwa za juu sijui kwasababu wengi wakija hapo wanatoa tu pesa kwasababu vichwa viwili vinafanya kazi kwa wakati mmoja so lazima kichwa cha juu kizubae.
 
MillionHairs Pazuri sana kumbe,nikipita kwa nje naona ni sehemu ndogo,ila majina ya hapo ni shida inatuogopesha hata sie walalahoi maana hapo pembeni pana Billionea Club.
 
MillionHairs imekaa poa sana hiyo karibu na Regency....Sema Massage bei zake zinakuwa za juu sijui kwasababu wengi wakija hapo wanatoa tu pesa kwasababu vichwa viwili vinafanya kazi kwa wakati mmoja so lazima kichwa cha juu kizubae.

Mkuu, hiyo ndiyo maana ya professional salon...lazima bei zao ziwe juu kutokana na uendeshaji wa ofisi.

Kwanza rent wanayolipa ni kubwa sana.
Pili mishahara ya wafanyakazi inakuwa mikubwa kiasi fulani.
Tatu product au any treatment wanazotumia zinakuwa ni original na wanazinunuwa kwa bei ghali kidogo.

Ndiyo maana tokea mwanzo nimesema hapa kuwa hawa watu wanaokuja hapa na kuongea mambo ambayo hawana uhakika nayo ni hatari sana na wanaweza kuharibu biashara za watu.
 
Back
Top Bottom