Masoud Masoud wa TBC Taifa mbona yuko hivi?

white wizard

JF-Expert Member
May 18, 2011
8,307
13,269
kwa kweli ktk watangazaji wa hapa bongo hakuna anayemfikia huyu jamaa kwa uchambuzi wa miziki ya zamani iwe ya tz,europe,carribean na congo! mpaka ya 50's!na jamaa anakuwa na data za kutosha juu ya mwanamziki/mziki husika.mfano kipindi kile cha msiba wa michael jackson jamaa alitoa history yake,na nyimbo zake,na juzi kifo cha witney jamaa ana data,ukichanganya na ile sauti yake panakuwa patamu.hongera sana kaka masudi unajua nini unafanya,tofauti na hawa vijana wa cku hizi vi2 wahajui kelele nyingi.
 
mbona hayo mambo mepesi tu, hata sisi wengine ambao siyo ma DJ tuna data nyingi tu. Yeye ile ni kazi inayomwingizia kipato kwa hiyo lazima ajikite sana
 
Kichwa na ulichoandika mkuu duh.Binafsi hata mimi na mkubali sana huyu jamaa anaujua mziki kweli.Kichwa cha habari mkuu kiangalie upya
 
Wee Kilaza, kila mwandishi wa habari mwenye KITAMBULISHO, anakuwa na namba yake ambayo inamruhusu kuingia kwenye Website yao maalumu waandishi wa habari na huko kuna information nyingi sana ambazo anaweza kuzisoma kwa watu kama sisi kuzisikia kwa mara ya kwanza.

Pia kwa watu kama Whitney au Michale Jackson, habari zao nyingi sana waandika hadi kwenye vitabu vilivyo ndani ya Cover ya CD.

Kwa mfano huu wimbo nilisoma habari zake ambazo kweli kweli zinafurahisha sana.

Wakati wanatengeneza album ya MJ ya OFF THE WALL hasa wimbo wa ROCK WITH YOU, mwana dada Brandy Norwood [dada yake Ray J ambaye anasemekana kuwa alikuwa na Whitney kama mpenzi (GIGOLO?)] alikuwa hajazaliwa. Anyway, mwingine atabisha kwa sababu Album imetoka August 1979 na Brandy amezaliwa February 1979 ila ukweli nyimbo zake zilianza kupikwa na akina Mzee Quincy Jones miezi kadhaa nyuma kabla binti hajazaliwa.

Wakati Quincy Jones anatengeneza album yake ya "Q'S JOKE JOINT", moja ya Album nzuri sana ya mzee QS, kama kawaida alishirikisha wanamuziki wengi sana. Mwishoni akaja mtoto wake aitwaye KIDADA (wengi walimfahamu baadaye kama Girl Friend wa Tupac Shakur ambaye walikuwa wote Las Vegas siku jamaa alipouawa) na kumuomba baba yake amshirikishe Brandy na Brandy aimbe wimbo wa Rock with you. Mzee akamkubalia Mwanae na kwenye wimbo akaletwa Marehemu Big Daddy aka HEAVY D ili kuja kuongezea uzito. Na ndani ya kitabu, mzee anasema kabisa kuwa inafurahisha kuona Brandy akiimba wimbo ambao waliuandika hata kabla hajazaliwa.

Jaribu kununua CD Original na utapata Information nyingi sana ambazo zinakuwa kwa asilimia kubwa za kweli. Pia Google utapata info nyingi pia ila zihakiki. Pia Youtube, kuna video nyingi sana kuhusu hawa jamaa na maisha yao ila badi zihakiki mara mbili kupata uhakika maana HABARI feki zipo nyingi sana.


Ok, hebu wasikilize Heavy D na Brandy kwenye Q'S Jook Joint. Ukiweza basi itafute hii album kama wapenda mziki poa.

 
Last edited by a moderator:
Wee Kilaza, kila mwandishi wa habari mwenye KITAMBULISHO, anakuwa na namba yake ambayo inamruhusu kuingia kwenye Website yao maalumu waandishi wa habari na huko kuna information nyingi sana ambazo anaweza kuzisoma kwa watu kama sisi kuzisikia kwa mara ya kwanza.

Pia kwa watu kama Whitney au Michale Jackson, habari zao nyingi sana waandika hadi kwenye vitabu vilivyo ndani ya Cover ya CD.

Kwa mfano huu wimbo nilisoma habari zake ambazo kweli kweli zinafurahisha sana.

Wakati wanatengeneza album ya MJ ya OFF THE WALL hasa wimbo wa ROCK WITH YOU, mwana dada Brandy Norwood [dada yake Ray J ambaye anasemekana kuwa alikuwa na Whitney kama mpenzi (GIGOLO?)] alikuwa hajazaliwa. Anyway, mwingine atabisha kwa sababu Album imetoka August 1979 na Brandy amezaliwa February 1979 ila ukweli nyimbo zake zilianza kupikwa na akina Mzee Queens Jones miezi kadhaa nyuma kabla binti hajazaliwa.

Wakati Quincy Jones anatengeneza album yake ya "Q'S JOKE JOINT", moja ya Album nzuri sana ya mzee QS, kama kawaida alishirikisha wanamuziki wengi sana. Mwishoni akaja mtoto wake aitwaye KIDADA (wengi walimfahamu baadaye kama Girl Friend wa Tupac Shakur ambaye walikuwa wote Las Vegas siku jamaa alipouawa) na kumuomba baba yake amshirikishe Brandy na Brandy aimbe wimbo wa Rock with you. Mzee akamkubalia Mwanae na kwenye wimbo akaletwa Marehemu Big Daddy aka HEAVY D ili kuja kuongezea uzito. Na ndani ya kitabu, mzee anasema kabisa kuwa inafurahisha kuona Brandy akiimba wimbo ambao waliuandika hata kabla hajazaliwa.

Jaribu kununua CD Original na utapata Information nyingi sana ambazo zinakuwa kwa asilimia kubwa za kweli. Pia Google utapata info nyingi pia ila zihakiki. Pia Youtube, kuna video nyingi sana kuhusu hawa jamaa na maisha yao ila badi zihakiki mara mbili kupata uhakika maana HABARI feki zipo nyingi sana.


Ok, hebu wasikilize Heavy D na Brandy kwenye Q'S Jook Joint. Ukiweza basi itafute hii album kama wapenda mziki poa.
]


Was it necessary?
 
Sure yes.

Kichwa cha habari na habari yenyewe katudanganya. Hiyo imempa sifa ya kuwa KILAZA kwa kuanzia.

Ila baadaye nimempa heshima kwa kumuwekea maelezo mengi na ya kutosha. Asingelitudanganya basi asingelipata jina la KILAZA. Nafahamu sikutakiwa kuandika ila ilibidi nifanye hivyo ili kuonyesha masikitiko yangu ya kuchanganywa kama Shilingi ya Kamali. Nikajikuta natamka neno KILAZA.
Was it necessary?
 
kwa kweli ktk watangazaji wa hapa bongo hakuna anayemfikia huyu jamaa kwa uchambuzi wa miziki ya zamani iwe ya tz,europe,carribean na congo! mpaka ya 50's!na jamaa anakuwa na data za kutosha juu ya mwanamziki/mziki husika.mfano kipindi kile cha msiba wa michael jackson jamaa alitoa history yake,na nyimbo zake,na juzi kifo cha witney jamaa ana data,ukichanganya na ile sauti yake panakuwa patamu.hongera sana kaka masudi unajua nini unafanya,tofauti na hawa vijana wa cku hizi vi2 wahajui kelele nyingi.
Sawa Masoud upo juu, si ndio ulivyotaka nijibu hivi.
Sasa kwa nini usitumie jina lako halisi kwenye ID yako Masoud?
 
Kiukweli MM yuko juu kimuziki kwa sababu anaupenda muziki. Yeye alianzia u dj enzi zile, huyu ndio yule DJ Niger J enzi za kina Kalikali na Sey Dou!.

Alijiunga na Radio One na akina Aboubakar Liongo, Ahmed Kipozi na John Dilinga na wote wanne wakaenda kuanzisha radio uhuru. Baadae wakasambatika, Dilinga na Abou wakaishia zao mamtoni. Masoud ndipo akajoin TBC.

He is really good!.
 
Kuweza kupata habari kwenye source nzuri na kuwapa wasikilizaji wako pia ni ujanja. Mbona hao wengine hawafanyi?
Sio lazima wote tupekuepekue websites na cover za cds wakati watu wa kazi hio wapo.
Hongera Masod
 
Back
Top Bottom