Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 397
- 662
Nilikuwa namuheshimu sana masudi.Kwahili ameteleza sana.Japo Mimi siyo mdini ila Kwa katuni hiyo ingekuwa ni upande wa pili kwenye makobazi basi wangeshajaa jazma kama kawaida yao nakumtafuta mchora katuni Kwaajili ya kumuadabisha.Ukristo kwenye level ya uvumilivu wapo mbali sana.