Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,001
- 26,305
Tuliza muhahoKweli kipanya kalewa misifa!
Sasa hichi anacho kifanya ni utoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuliza muhahoKweli kipanya kalewa misifa!
Sasa hichi anacho kifanya ni utoto
Lakini hapa tunazungumzia KatuniBavicha na bawacha wape picha tu halafu soma comment zao ndio utajua kwanini kuwa misukule ni adhabu kubwa sana kwao
Wewe hunaga akiliUmesema kweli mkuu, huyu jamaa amepoteza mwelekeo, kazi iliyo baki ni kukashifu na kudhihaki, nadhani hii yote ni njaa, anaona bila kuchora katuni za kukashifu na kudhihaki hawezi kupata mafao ya kutosha.
sasa atajimaliza mwenyewe
Mkuu angalia vizuri Hilo draft anayetakiwa kusukuma kete ni mama na kwa namna jinsi alivyotegwa kila kete atakayo igusa inaliwaSimple sn huyo vampire ni mwendazake ,hio draft ni Samia anacheza na sukuma gang ukiangalia kete ni ngoma droo wametaitiana either mama atoe droo au awape sukuma gang ,hio glass ni damu ccm wao Ni kuua,kufunga hawajali kitu
Hicho kitu cheupe ni Ganja au Msuba, yani kifupi jamaa ameonyesha ubabe wa hali ya juuHii nimetoka kapa,ila kwa wanaojaribu kung'amua wazingatie haya-
-Jamaa ana damu,inaonekana yeye ndiye mtumiaji wa hicho kicnywaji chekundu
-Jino la jamaa la mbele limeacha alama kwenye glass,kwa maana hiyo jamaa anakunywa kinywaji mpaka akatafuna na glass!
-Jamaa ana fegi
-Glass iko ndani ya draft
-jamaa kavaa protecting gear masikioni
-Jamaa ana mashine pembeni
-Kuna kitu cheupe kwenye draft
-Jamaa ni skeleton
-Jamaa inaonekana ana kete nyingi
-Jamaa kakunja nne
-Ni zamu ya maushungi kucheza
-Kila kete atakayosukuma inaliwa
Kiufupi jamaa yuko comfortable kuliko Maushungi,details nyingi ziko upande wa jamaa!
Kazi kwenu
Kiufupi uyo skeleton ndo mwenye mamlaka ktk ilo drafti, na ni mzoefu nalo , ukimshinda anakuua so option ya mama hapo ni kushindwa tu, akae mwingine Magu alishinda naona iyo ndo damu yakeHicho kitu cheupe ni Ganja au Msuba, yani kifupi jamaa ameonyesha ubabe wa hali ya juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Whisky? Mimi nimeona damu kwenye glasi.Kwani JPM akivuta sigara? Hiyo wisk vip? Kofia kichwan inauhusiano gani na hayati.
Unasubir weekend? Mkuu wew ni mtumiaji au unaiga?Aisee nimeona msokoto hapo kwenye hilo draft, weekend hii nangojea jioni nika-roll za kutosha nipoteze mawazo
Kila kitu kikitumika blia nidhamu kina madhara, tatizo vijana wengi wanakimbilia mmea kwa pupa...ndio wanaofanya uchelewe kuhalalishwaUnasubir weekend? Mkuu wew ni mtumiaji au unaiga?
We unafikir sababu ya msingi ya pot kuchelewa kuhalalishwa ni hiyo?Kila kitu kikitumika blia nidhamu kina madhara, tatizo vijana wengi wanakimbilia mmea kwa pupa...ndio wanaofanya uchelewe kuhalalishwa