huyu kipanya ni mchochezi na anatumika vibaya kwa masilahi ya tumbo lake.
tuna muonya atumie vizuri taaluma yake, asilewe misifa! akajisahau.
Hongera sana mkuu na wewe umechangia maoniAnatakiwa asukume kete za njano
Kikombe cha mvinyo uliokunywa wewe mm sinywi!Nimeona mchoro huu nikajiuliza aliwaza nini kabla ya mdau kutoa ufafanuzi wake, Kama iko vivyo mdau alivyosema basi Kipanya ametukosea Sana watanzania, mtu akifa aachwe afe.
Kusema Samaia anajifunza ya JPM ni kukosea sana hasa ukisema anajifunza mabaya tu.
USSRView attachment 1959093
Hangaya akikosea kete moja tuu.... bye bye tunaenda Guinea kidogoLeo 1st October 2021 Msanii Maarufu ametoa/amepost katuni ambayo kila aliyejaribu kutafsiri ameishia njiani.
Binafsi nimebeba tu maana ya jumla kuwa kuna "hisia" Kali za maumivu na majonzi Mtunzi ametumia kupeleka ujumbe wake.
Ni kama vile nchi inaongozwa na genge la Wahuni wasiojali kitu na Ambao Mama mwenye ushungi (probably ni Raisi) hana options!
Nchi iko pabaya
View attachment 1959464
hatumtishi bali tunamrudisha kwenye mstari aache, maana wakati mwengine binaadamu hulewa sifa na mwishowe akapotoka.Acha kutisha watu mkuu,Usipomwelewa au kumwelewa tofauti tayari ni mchochezi!.
Hivi misukule ina maanisha nini, nimewahi kusikia tu lakini maana halisi bado sijaipata 'I like silent language'Leo 1st October 2021 Msanii Maarufu ametoa/amepost katuni ambayo kila aliyejaribu kutafsiri ameishia njiani.
Binafsi nimebeba tu maana ya jumla kuwa kuna "hisia" Kali za maumivu na majonzi Mtunzi ametumia kupeleka ujumbe wake.
Ni kama vile nchi inaongozwa na genge la Wahuni wasiojali kitu na Ambao Mama mwenye ushungi (probably ni Raisi) hana options!
Nchi iko pabaya
View attachment 1959464
Bavicha na bawacha wape picha tu halafu soma comment zao ndio utajua kwanini kuwa misukule ni adhabu kubwa sana kwao
Nadhani ulisoma comment yangu kabla huja ni quoteVipi mkuu tupe tafsiri yako basi
Akae major, asitoke!An idiom "skeleton in the closet" means an undisclosed facts about someone which, if revealed, would damage perceptions of the person.
Nyuma ya "cartoon" pengine kuna ujumbe muhimu sana. Uwepo wa vitu katika hiyo "skeleton" kama kofia na sigara mkononi mwake; uwepo wa glasi yenye kinywaji kama mvinyo na mchezo wa "draft" wenye kete chache zilizobaki kwa huyo bibie aliye mchezoni ni "codes" zenye kuhitaji utulivu kuzifungua.
Ni wazi kuwa mzimu una kila dalili za kushinda "game" na ukiibuka mshindi, basi hapo bibie ndiyo kwishiney.