Supa hiyo mama hajui acheze wapi kainamisha kichwa mwenzie anavuta sigara na kunywa wine ya damu hana preshaHujui draft mkuu hiyo game ukiifuatilia mpaka mwisho ni droo
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Supa hiyo mama hajui acheze wapi kainamisha kichwa mwenzie anavuta sigara na kunywa wine ya damu hana preshaHujui draft mkuu hiyo game ukiifuatilia mpaka mwisho ni droo
Acha kutisha watu...watamuua au nini hasa?Nimtishe namuelekeza,kama ana ndugu wanampenda wamwambie,asije sema hakuambiwa,uhuru usitumike kuvuka mipaka
Kwa sukuma gang ndio blood suckers? Na glass imejaa mvinyo au damu? Na kwa nini glass Imepasuka kidogo? Na Kipanya anatakankumwambiaje Mama?Simple sn huyo vampire ni mwendazake ,hio draft ni Samia anacheza na sukuma gang ukiangalia kete ni ngoma droo wametaitiana either mama atoe droo au awape sukuma gang ,hio glass ni damu ccm wao Ni kuua,kufunga hawajali kitu
Kete mbili KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI?Samia ana kete 2, huyo vampire ana kete 3 na hasikilizi mtu, anapata burudani na kikombe cha mvinyo wa dodoma pembeni.
Patamu hapo wanaume!
Anatakiwa asukume kete za njanoLeo 1st October 2021 Msanii Maarufu ametoa/amepost katuni ambayo kila aliyejaribu kutafsiri ameishia njiani.
Binafsi nimebeba tu maana ya jumla kuwa kuna "hisia" Kali za maumivu na majonzi Mtunzi ametumia kupeleka ujumbe wake.
Ni kama vile nchi inaongozwa na genge la Wahuni wasiojali kitu na Ambao Mama mwenye ushungi (probably ni Raisi) hana options!
Nchi iko pabaya
View attachment 1959464
Tulieni acheni dharau kwa mamlakaAcha kutisha watu...watamuua au nini hasa?
Hii nchi mbona inakuwa ya kipumbavu hivi?..yaani hadi katuni ambayo haina hata jina ni kosa??
Na kwanini kofia ni kijani na headset ni nyekundu!!!?Kwa sukuma gang ndio blood suckers? Na glass imejaa mvinyo au damu? Na kwa nini glass Imepasuka kidogo? Na Kipanya anatakankumwambiaje Mama?
An idiom "skeleton in the closet" means an undisclosed facts about someone which, if revealed, would damage perceptions of the person.Anatakiwa asukume kete za njano
Zipo zaidi tazama vizuri linakoishia draft katikati ya mikono ya Hangaya, kinachomchanganya ni zamu yake kucheza, je achheze wapi!!!Samia ana kete 2,