Masoud Kipanya adaiwa kukamatwa kwa kuchora katuni ya kichochezi. Yeye aibuka, adai aliyetoa taarifa 'AMESAIDIA'

DATAZ

JF-Expert Member
May 25, 2012
2,456
5,997
Mchoraji wa katuni Masoud Kipanya anadaiwa kukamatwa na Jeshi la Polisi muda mfupi uliopita kwa tuhuma za uchochezi baada ya kuchora katuni inayoichonganisha serikali na wananchi.

img-20180101-wa0026.jpg


UPDATE:
JamiiForums imewasiliana na mwajiri wake (Clouds Media Group) na imehakikishiwa kuwa taarifa hizi zinazosambazwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ni UZUSHI.

Yeye (Kipanya) asema aliyesambaza taarifa hizi "AMESAIDIA"

Screen Shot 2018-01-01 at 22.22.31.png
 
Back
Top Bottom