" Wameona anameona " ndiyo nn hiituache jeshi la polisi wafanye kazi yao kwani kama wamemkamata wameona anameona kuwa anakesi ya kujibu kwa kuzingatia uweledi
We waita uchochezi sie twaita ujumbe kwa jamii.Kwani fani ni lazima uchore uchochezi pambaaf
Nilifikilia alipotubu akaacha zambi kumbe ndo anaendelea tu
Nani wa kuchora wakati mchoraji kakamatwa?picha tafadhali
usiseme wazalendo, sema vilaza mliokosa direction mnahisi atakuja kuwaletea pesa awakabidhi mkononi.Magufuli nyoosha nchi wazalendo tunakusapoti
Wazalendo WanafikiMagufuli nyoosha nchi wazalendo tunakusapoti