Masogange na Melisa..... Mna bahat nyie mngeozea jera.
Jela anaenda kibaka sio mwanamke makalio mkuu
Masogange na Melisa..... Mna bahat nyie mngeozea jera.
Hapa nahisi unamaanisha Dakta Jakaya Mrisho KikweteNasikia mwenye nchi alimaliza ziara haraka haraka Bukoba na kufly South kumaliza so!!! Sijui kama habari hizi ni za kweli, kama ni za kweli, basi sebuleni kwetu si kusafi!!!!!
Tiba
Hapa nahisi unamaanisha Dakta Jakaya Mrisho Kikwete
hata hivyo masogange hiyo ephredrine kaitoa wapi na anaipeleka wapi? hayo ndio maswali ya kumuuliza akirudi.
hata hivyo masogange hiyo ephredrine kaitoa wapi na anaipeleka wapi? hayo ndio maswali ya kumuuliza akirudi.
Ndio ukweli wenyewe huoMwisho wa siku watatuambia ule ulikuwa na mzigo wa poda kutoka kiwanda cha PODOA cha Tanga kwenda SA kwa ajili wa wacheza pool table.
Sasa ngoja na mimi nikaombe hiyo ajira pale chini, sifa nisaidieni, wanaojua sifa za kupiga hii kazi! kumbe ni ephedrine???
Mambooo, yamekuwa mamboo... rais Kikwete amefanya mambo, huyo masogange mambo yake sasa, tambarareeee!