Masogange na Melisa kuachiwa huru!!!!!!

Masogange na Melisa kuachiwa huru!!!!!!

Sijawahi kuona serikali legelege na ya kipumbavu kama hii.Na nadhani hii ndo itakuwa serikali legelege na ya kipumbavu kupita zote nitakayoishuhudia katika maisha yangu.Unajua kuna mambo yanatia hasira hakuna mfano.
Nasikia mwenye nchi alimaliza ziara haraka haraka Bukoba na kufly South kumaliza so!!! Sijui kama habari hizi ni za kweli, kama ni za kweli, basi sebuleni kwetu si kusafi!!!!!

Tiba
 
Mtandao wa madawa ya kulevya ni mkubwa sana ni vigumu kuwashinda au kuwatokomeza hawa jamaa!
 
Haya majnga.Wacha watoto wa walalahoi waendelee kufa kwa maslahi ya wakubwa.Maskini Mwakyembe analilia taifa wakati wenzake hilo hawataki kulisikia.Mwenyenzi MUNGU,tunusuru na janga la wakubwa hawa.AMENI.
 
a63cd9e38964634741a5a3fe89055308_L.jpg

Picha hii inabeba ujumbe mzito sana.
 
Karibuni Masogange na Melisa tutakuwepo Airport kuwapokea, na wakiachiwa tu kwa dhamana kuna kituo kimoja cha redio kitawafanya dili kwa muda wa kama mwezi mmoja hivi. Na pia kuna makanisa yanasubiria kujizolea umaarufu wa kuwaokoa. Mjini hapa!
Labda waje kwa basi, Mwakyembe keshasema hawaruhusiwi kukanyaga airport au bandarini
 
Habari Hoja Mchanganyiko ........................ teh teh teh teh ......!:heh:
 
Nasikia mwenye nchi alimaliza ziara haraka haraka Bukoba na kufly South kumaliza so!!! Sijui kama habari hizi ni za kweli, kama ni za kweli, basi sebuleni kwetu si kusafi!!!!!

Tiba

Sijawahi kuona serikali legelege na ya kipumbavu kama hii.Na nadhani hii ndo itakuwa serikali legelege na ya kipumbavu kupita zote nitakayoishuhudia katika maisha yangu.Unajua kuna mambo yanatia hasira hakuna mfano.
Kitakachofuata ni kusaini mikataba 19 na Afrika Kusini kama alivyofanya mchina baada ya kuombwa aachie watuhumiwa wenye maslahi kwa wakubwa.
 
Naona tuwekane sawa kwa facts za hii kesi. Kwanza tujiulize kwa nini msanii asafirishe dawa aina ya ephedrine kuipeleka S/Africa nchi yenye viwanda vingi vya madawa ya binadamu na wanyama. Pili tutizame gharama ya kusafirisha mabegi yote hayo kwa dawa ambayo bei yake ni rahisi. Vile vile tazama jinsi mtandao wa askari na wafanyakazi wa JNNIA walivyoupitisha ule mzigo. Hapo doti haziunganiki kabisa halafu leo unatupiwa changa la macho kuwa hizo ni dawa za kawaida tu.

Mkuu tatizo limeshajulikana,wazalendo wanasubiri muda muafaka kuchukua hatua!
 
Tutapiga makelele hapa jf weee mwisho wa siku watarudi tena bongo na s.africa watasafiri tena na mzigo kama kawaida.
 
Wewe una kucha za ziada eeh haya shauri yako.....
Nasikia mwenye nchi alimaliza ziara haraka haraka Bukoba na kufly South kumaliza so!!! Sijui kama habari hizi ni za kweli, kama ni za kweli, basi sebuleni kwetu si kusafi!!!!!

Tiba
 
hii ni habari ya kupanickisha watu haina ukweli wowote....for information tu!miongoni mwa madon inaosemekana ndo aliwatuma hawa vicheche amedandiwa wiki mbili zilizopita nairobi akiwa na mzigo mwingine na hawa mademu walikuwa wanalalamika sana huyo mchizi kawapotezea hawa mademu baada ya kudandiwa huko dizonga
 
mkuu Damian marijani thanx kaka,ila sasa hapa kinachoonekana ni kama yale ya KAGODA,na DOWANS hakuna cha kushangaa,,,,tushayazoea,na wao hawana hasara maana hatutaweza kuhoji lolote,majaji wa SA na wa TZ sioni tofaut zao,maana hata hapa majaji wetu walishawai tajwa kuwa wanapokea hongo hasa kwa kesi hizi,gazeti la Jamhuri liliwahi ripot kesi za unga ambazo maamuzi yake yalishangaza hata kama huna weledi na sheria,jamaa wamenuia kumaliza vijana
Mkuu Mkoroshokigoli mambo ya wakubwa na wenye pesa hivyo ni vitu vya kawaida, kupindisha ukweli. Matatizo yetu ya uchumi, ufuaji na ugavi wa umeme sio kwa sababu hatuwezi kujikwamua hapa tulipo ni kwa sababu kuna wachache ambao hawataki tutoke hapa tulipo kwani hali hii inawaneemesha wao
 
Last edited by a moderator:
ooooowwh , haya bwana wauza sembe wameshinda
 
Inasikitisha na kuhuzunisha, hawa malipo yao yapo hapa hapa duniani kabla ya huko kwa sir god
 
Mi naona hii ishu ya madawa ya kulevya iachwe huru ili anayetaka atumie na asiyetaka aache maana kuna unafiki mkubwa katika hii vita.
 
Mmm sasa yule aunt yangu hatokamatwa tena na mitambo ya kutengenezea gongo! na sitakuwa na hatia nikikutwa na risasi ,pia nikiwa na majani mabichi ya bangi si balaa tena kwani nitakuwa nina nia ya kuifanya mboga tu!teh!teh!eh! tanzania full raha!
 
Back
Top Bottom