Masogange na Melisa kuachiwa huru!!!!!!

Masogange na Melisa kuachiwa huru!!!!!!

Nimeiona hiyo stori kwenye Raia Mwema na gazeti moja la udaku(silikumbuki)kwenye meza za magazeti,lakin kwa hili linalojadiliwa hapa,wauza unga wamepiga bao muhimu sana kwenye game muhimu mno na ndo bao la pekee na la kihistoria,ila pia naweza kusema sasa (kisirisiri) biashara ya unga imehalalishwa Afrika,acha wazungu wapambane tu,Nzowa pale ofisini (kwa mujibu wa kauli zake)ni kama taasisi yake ya kujichumia mapesa,nadhan hayo makaratas ya Orodha ya wauza unga yamemzunguka ofisini na hata pakukaa hana,,,,,
ameshindwa kupambana na biashara ya dawa za kulevya si tu kwa mizigo isyokamatwa hata inayokamatwa,pamoja na kwamba anadai ana orodha ya wauza unga manguli,inaonesha hana nia na washirika wake kuwafanyia uchunguz hao jamaa na kuwakamata,leo hii wanakuja na wimbo wa mahakama ya wauza unga,they r buying time,wasituhadae,sheri hii iliyopo inaweza tu kusaidia kupambana na wauza unga na watu wa aina hiyo,vilevile matukio yanayofanywa na KIRANJA MKUU nayo yanahalalisha hii biashara jamani,kumtibu ray-C na kukaa kimya bila kutia neno ni sawa na kukubaliana na hii bizness,kukutana na mateja na kuongea nao bila kutoa wito kwao na wauza unga pia ni kama amekubali,watanzania hatutak list ya wauza unga,watanzania tunataka ukomeshaj wa hii biashara kwa kuwakamata na kuwapoteza wauza unga,,,wakubwa,wadogo mpaka hawa wauza kete,jaman polisi wanawafahamu hawa,huwez uza unga au gongo bila kujulikana na polisi,,,,kuna utaratibu(sio rasimi)wa kupeleka pesa kwa mapolisi,sasa kwa Tanzania na nchi nyingi za afrika hakuna mpango madhubuti wa kupambana na wauza unga,na kwa sasa wanafanya makusudi kuwakomoa wale wanaojifanya wanapambana na hii bizness(akina mwakyembe),kwanza rais haonesh kukerwa kabisaaa

Kwanini hufurahi mtanzania mwezetu kuachiwa huru?
 
wakifika bongo tutajua zaidi, je wakipata dhamana wakarudi, nani atakuwa analipia gharama za kesi ( freight to and fro SA) au maboss wao?
hapo ni zaidi ya tujuavyo
SP

kwani nani aliwalipia hao waliohakikisha hao punda wanapata haki zao huku wakiwaacha punda wengine china,misri,zimbabwe,kenya wakiangamia bila msaada wowote
 
sasa ngoja na mimi nikaombe hiyo ajira pale chini, sifa nisaidieni, wanaojua sifa za kupiga hii kazi! Kumbe ni ephedrine???

ukitaka kupata tenda ,,,lazima uwe mzoefu wakumeza mbilimbi,,,kwaiyo sasa karibu kinondoni uungane na vijana wanaofanya mazoezi yakumeza mbilimbi ,,,na wanapofuzu mara moja anakuwa na uwezo wakutembea brazili,,south afrika,,hong kong,,china ,,parkistani,,colombia,,marekani,,,
 

Attachments

  • bilimbi q.jpg
    bilimbi q.jpg
    37.5 KB · Views: 380
  • images b.jpg
    images b.jpg
    8.6 KB · Views: 366
hii movie inanichanganya

pole mdau Kibwebwewakat movie inakuchanganya ndo tayari imekwishaisha,,,hapa changamoto ni moja tu,kuhakikisha kuwa unairudia ili kuielewa,nakushauru ianzie kwenye kauli za NZOWA mkuu wa KIKOS CHA KUWAPAMBA WAUZA UNGA,then njoo kwa mwakyembe,,,,,ambaye wizara yake ina watumishi wazuri wa kuratibu biashara ya unga
 
Last edited by a moderator:
wakifika bongo tutajua zaidi, je wakipata dhamana wakarudi, nani atakuwa analipia gharama za kesi ( freight to and fro SA) au maboss wao?
hapo ni zaidi ya tujuavyo
SP

mzigo wa 8.6 bil utashndwa lipia ndege to and fro ya sehem gan dunian????sembuse hapo SA!!!
 
Kwanini hufurahi mtanzania mwezetu kuachiwa huru?

mim sina shaka na wewe,maana tangu stori ya matumla ulikua unabwabwaja,,,kuwa hawajakamatwa,,,,mtanzania anayeleta ustaw kwa jamii namuhitaj sana
 
Hata kama Watanzania ni vipofu lkn kwa hili tumeliona, Tz hakuna haki bali ni pesa ndio itakupatia haki
 
Nimechoka kabisa!!! ngoja niende cafeteria nikamalizie hasira zangu huko. Ndugu yangu mtanzania unayesoma uzi huu, wewe unaambiwa uwe mzalendo wakati hao hao wanaohubiri uzalendo wanashindwa kuishi katika maneno yao.

Tuishi kwa kuwasikiliza halafu tutende kama tunavyoweza na kama tunavyojisikia na pia kama ina maslahi upande wetu tu.
 
Naona tuwekane sawa kwa facts za hii kesi. Kwanza tujiulize kwa nini msanii asafirishe dawa aina ya ephedrine kuipeleka S/Africa nchi yenye viwanda vingi vya madawa ya binadamu na wanyama. Pili tutizame gharama ya kusafirisha mabegi yote hayo kwa dawa ambayo bei yake ni rahisi. Vile vile tazama jinsi mtandao wa askari na wafanyakazi wa JNNIA walivyoupitisha ule mzigo. Hapo doti haziunganiki kabisa halafu leo unatupiwa changa la macho kuwa hizo ni dawa za kawaida tu.
 
ukitaka kupata tenda ,,,lazima uwe mzoefu wakumeza mbilimbi,,,kwaiyo sasa karibu kinondoni uungane na vijana wanaofanya mazoezi yakumeza mbilimbi ,,,na wanapofuzu mara moja anakuwa na uwezo wakutembea brazili,,south afrika,,hong kong,,china ,,parkistani,,colombia,,marekani,,,

Kwani masogange alimeza??? Ephedrines hazimezwi mkuu!
 
Naona tuwekane sawa kwa facts za hii kesi. Kwanza tujiulize kwa nini msanii asafirishe dawa aina ya ephedrine kuipeleka S/Africa nchi yenye viwanda vingi vya madawa ya binadamu na wanyama. Pili tutizame gharama ya kusafirisha mabegi yote hayo kwa dawa ambayo bei yake ni rahisi. Vile vile tazama jinsi mtandao wa askari na wafanyakazi wa JNNIA walivyoupitisha ule mzigo. Hapo doti haziunganiki kabisa halafu leo unatupiwa changa la macho kuwa hizo ni dawa za kawaida tu.

Nakuhakikishia mkuu zilikuwa panadols tuu ndio sababu JNIA, hawakuwa na wasiwasi
 
Naona tuwekane sawa kwa facts za hii kesi. Kwanza tujiulize kwa nini msanii asafirishe dawa aina ya ephedrine kuipeleka S/Africa nchi yenye viwanda vingi vya madawa ya binadamu na wanyama. Pili tutizame gharama ya kusafirisha mabegi yote hayo kwa dawa ambayo bei yake ni rahisi. Vile vile tazama jinsi mtandao wa askari na wafanyakazi wa JNNIA walivyoupitisha ule mzigo. Hapo doti haziunganiki kabisa halafu leo unatupiwa changa la macho kuwa hizo ni dawa za kawaida tu.

Damian hakuna wa kukuelewa kwenye hili,maana hao tunaowapa dhamana ndo washasema
 
Last edited by a moderator:
Kwanini hufurahi mtanzania mwezetu kuachiwa huru?
Tatizo sio hilo, tatizo lipo kwenye biashara yenyewe lazima mtandao wao uwekwe wazi na wa kufanya hivyo ni hao ambao leo hii tunaambiwa hawana kesi ya madawa ya kulevya.
 
dawa za kulevya za mabilioni ya shilingi zaidi ya sh. bilioni 6 kwanini wasimwage nusu yake watu watoke, na mizigo yao.hii ndiyo bongo na sembe,Ee Mwenyezi Mungu tunusulu sisi na kizazi chetu na hili janga la dunia nzima, ameni!!!!
 
mengi yataibuka na mengi yatasemwa lakin tuendako siko tunakotarajia
 
What? I feel like puking.
-nchi hii uza matunda KOSA muhamiaji haramu we.
-iba mamilioni ya umma hivo kuwanyima watanzania huduma muhimi SAWA karibu NEC
-safirisha unga,malighafi ya madawa ya kulevya popote duniani SAWA serikali itakulinda kwa nguvu zote.
 
Good news well come home Masogange wivu tu kila mtu na bahati yake south africa karibu sana ndio mana askari wa tz wamekwenda huko brazil ethiopia ni mbali I can't wait to see u

Wema i doubt you samahani kwahilo ila sidhani kama yur a patriot😡:::
 
Back
Top Bottom