Uhovyo wake uko wapi?!Mie namuona wa maana sana!!nakushangaa.....unapenda tujitu twa hovyoooooooooo!!!!!!
Habari gani tena kaka mtu chake,ile hali ndio tulikua tunapeana cha mchana na mmewangu Rejao mzima buheri wa afya!..mkewe .. Cantalisia ..amepata habari...lakini....?
Ww unamjua mke yupi?au hata watalaka wake pia unahesabia lol! Bishanga kwa sasa mie ndio maza hauc km hujui ebo!Yupi sasa canta binti mtambuzi au smile?
Kakondoo mzee huyo...shaurilo.
Uhovyo wake uko wapi?!Mie namuona wa maana sana!!
mishenyi unakujua weye?
Nipende basi kipipi!
mpe pole basi ya mkong'oto aliopata leo.
ps: nadhani anahitaji massage ya ukweli leo,yuko hoi.
Ndio mtindo wa kisasa mamangu lol!Nafurahi kwa kuwa unakwenda na wakati,
rejao kaenda mgodini,
wewe umeshapanga kwingine.
Bishanga nimetoka kumpa cha mchana kikiwa full pakeji so sasa ni mzima buheriwa afya na tayari karudi ulingon.mpe pole basi ya mkong'oto aliopata leo.
ps: nadhani anahitaji massage ya ukweli leo,yuko hoi.