Nimeona bado kwahiyo ngoja niusogeze hapa. . .
. . .Nanii anakusalimu, amesema akimaliza kukagua mgodi wake wa dhahabu Bhugimbagu atakuja kukusabahi.
..mkewe .. Cantalisia ..amepata habari...lakini....?
Aninunulie vitz kwani nae ni mhongaji a.k.a babu jinga? Vitz TUmenunua, na hayo mengine ni majungu tu.We nae,toka amekununulia hako ka vitz kila analokwambia unamkubalia tu,kwa taarifa yako 'nanii' ni mlinzi nyumbani kwa bosi wa mgodi,hicho ki vitz ni hela alipata baada ya kuiba cheni ya mama mwenye nyumba.
Btw 'nanii' anatafutwa na polisi.
hivi unampenda kweli?
Nambie unamchora tu na wikiend yangu itakuwa mwanana!
hivi unampenda kweli?
Nambie unamchora tu na wikiend yangu itakuwa mwanana!
Nani . . .Bishanga? We kakondoo nae, huyo anachotaka mwenzie asipendwe tu basi.
Nipende basi kipipi!
Ni kweli.....
Umejuaje lakini?