Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Yuko fiti kbs na cha mchana tushapeana na kesharudi alikokuwa.Hebu kampime Rejeo pressure manake kule jukwaa la siasa wamemvamia
Hata sithubutu mwenzangu..........bora nikapange foleni kwa best maridadi!!
Aisee Bishanga...Ndo natoka kuchungulia jukwaa la siasa,du maskini rejao,nimekuta anapewa za uso.........poor guy.....namsifu ana moyo lakini maana katika hali ya kawaida ukidundwa ile mingumi utaishia mwaisela.
Hahahahaha halo haloooooo!!humpendi unamwogopa maana kazi yake yeye kutishia watu maisha,jikomboe Lizzy achana naye atakuua kwa miwivu huyo.
Vipi pua imesalimika? najua kidevu kitakuwa kimelingana na kisogo.
Dah... TaiJike, Nicas Mtei...Siamini kabisa ninayoyaona hapa!!Rejao ana roho ngumu sana.
Rejao kumbuka siku zile ukiwa bado unamwiba Cantalisia kwa babu Mtambuzi uniahidi makirikiri na hujatimizia mpaka leo, sasa naanza kusema moja baada ya ingine.Dah... TaiJike, Nicas Mtei...Siamini kabisa ninayoyaona hapa!!
tena we ndo nilikuwa nakutafuta.
habari za central?