Masikini mwenzangu, unakubaliana na hii mada?

Masikini mwenzangu, unakubaliana na hii mada?

Inabidi kutafuta mbinu za kuwa tajiri
Kabisa mkuu japo ni vizuri kuridhisha nafsi kwa kile unachotamani. Mfano unapenda kwenda kwenye migahawa mizuri

Ukisevu na kwenda hata mara moja kwa mwezi ni kufeki au tu ni kujiridhisha. Ni sawa na wazungu, wanasev mwaka mzima ili waje Serengeti.

Haya maisha bhana ukisubiri upate uwezo wa kumudu lifestyle unayoipenda, inawezekana ukaishi bila moyo walo kufurahi
 
Na wengi ndio tupo hapa
Kujali watu wanaongea nini kuhusu wewe..... Mawazo binafsi na sauti za kihwani kwako kuhusu mawazo yao zinaweza kukuuwa.

Acha nikaange mafuta ya kuku niliyemla mwaka jana huku nikiwachanganya majirani kwa kutoiona mifupa wala manyoya.
 
alooo! kumbe matajili huwa wanamiliki visima vya mafuta na maviwanda ya magar!kwa hpa bongo itakuwa hakuna tajili kwakwel!
 
Back
Top Bottom