Masikini mwenzangu, unakubaliana na hii mada?

Masikini mwenzangu, unakubaliana na hii mada?

Mnawaonea maskini ila ukweli ni kwamba kuvaa na kuoendeza(mitindo) ni tabia ya mtu na si kumuonesha mtu hali yako ya uchumi.
Ni sawa na hesabu za kutoa na kujumlisha; ukitumia muda mwingi kwenye kujipendezesha, kutaka kuaminisha watu uko vizuri wakati hauko vizuri, ndivyo hivyo hivyo unapoteza muda kwenye uwekezaji wa vitu vya msingi.​
 
Kwa africa,mtu mwenye unafuu wa maisha ni aliko dangote pekee,wengine tusogeleane tuzogoe jf ili hali tajiri dangote anahaha ajenge wapi kiwanda cha kusafisha mafuta ghafi. Masikini sisi.
 
Mada yako imenifanya nijiulize kwani matajiri hawanunui hivyo ulivyoorodhesha? Nikakumbuka magari ya akina SSB,GSM na wenzao nikakuta kuna Ferarri,G Wagons,Bentleys,Aston Martin's....
Vipi nyumba zao, nikagundua wana majumba ya mabilioni Masaki na Oysterbay. Mikufu na macheni nikagundua wake zao wanajitanda dhahabu!
Kila mtu atanunua vitu kwa kiwango chake si masikini wala tajiri.
 
Siwezi kufanana na shida zangu mkuu. Yani unafukuzia deal ya milioni na muonekano wa buku mbili, inawezekana kweli mkuu ?..

Halafu unadhifu na kupenda vitu vizuri sio show off ila kuridhisha nafsi kwa kukupa muonekano unaokuridhisha toka ndani ya nafsi.

Siwezi kufanana na shida zangu. NEVER
Inabidi kutafuta mbinu za kuwa tajiri
 
Mada yako imenifanya nijiulize kwani matajiri hawanunui hivyo ulivyoorodhesha? Nikakumbuka magari ya akina SSB,GSM na wenzao nikakuta kuna Ferarri,G Wagons,Bentleys,Aston Martin's....
Vipi nyumba zao, nikagundua wana majumba ya mabilioni Masaki na Oysterbay. Mikufu na macheni nikagundua wake zao wanajitanda dhahabu!
Kila mtu atanunua vitu kwa kiwango chake si masikini wala tajiri.
Wana visima vya kuchimba mafuta?
 
Kwa africa,mtu mwenye unafuu wa maisha ni aliko dangote pekee,wengine tusogeleane tuzogoe jf ili hali tajiri dangote anahaha ajenge wapi kiwanda cha kusafisha mafuta ghafi. Masikini sisi.
Uko sahihi
 
Story za tajiri muulize masikini, ila nakuhakikishia saa moja anayo vaa moo dewji, ina gharamia outfit zako zoote ulizo nazo ndani.
 
Back
Top Bottom