Ah ah ah ahAliposema matajiri wataishi kama mashetani, wakapiga makofi na vigelegele!
...walidhani maskini wataishi kama malaika..!?!!
We unafikiria kwa kutumia nn?
Mimi Nina jirani yangu anafanya kazi quality group hili swala limemuathiri moja kwa moja anaishi kwa madeni
Leo tarehe ngapi? Accounts za bosi zimzuiliwa atalipwa na nani alafu kila mtu katika maisha ana mipango yakeHata mwezi bado tayari ana madeni?
Mi natumia Ubongo MkuuWe unafikiria kwa kutumia nn?
Mimi Nina jirani yangu anafanya kazi quality group hili swala limemuathiri moja kwa moja anaishi kwa madeni
Nashangaa kuna wapumbav wengine eti wana shabikiaaWanateseka watanzania wenzetu.
Kuna kitu hapa kimejificha.Sitaki kuamini kama haya ni kweli lakini ikiwa ni ukweli Manji anaandamwa namna hii basi kuna siri kubwa ambayo sisi hatuijuwi.
Nchi masikini ndivyo zilivyoNashangaa kuna wapumbav wengine eti wana shabikiaa
Ova
Jamaa anadhani Manji ameajiri wahindi tupu!..Hao watumishi wanaoteseka ni watanzania wenzetu na familia zao wakati Manji hawezi lala na njaa. Tunahitaji kupimwa akili zetu hizi za chuki
Pole kwa joto lililokupata, sisi tunanunua mtungi Wa gesi 60000 miaka yote na ni baridi tu!!Mimi ni mpinzani,lakin nimeshaanza kuonja joto ya jiwe kwa Manji kuguswa gesi yapaa ajabu,mtungi 24,000
Saaaaafi na mbado
Shida ya masikini ni kufurahia tajiri anapopata bughudha.Saaaaafi na mbado
Manji anamiliki na Gesi?Mimi ni mpinzani,lakin nimeshaanza kuonja joto ya jiwe kwa Manji kuguswa gesi yapaa ajabu,mtungi 24,000