Masikini Manji, hii ndio Bongo!

Masikini Manji, hii ndio Bongo!

Nashani waliruhusiwa jana wote na waliondoka! Walipolala juzi wanajua wenyewe na Sirro wao!!
 
Kenya wanamtaka ahamishie na uwekezaji wake kule...ingekuwa Mimi chapu ngetua Nairobi chyaa.
Wenzetu wameanza kusajili matajiri waliopo bongo wanaochoshwa nasystem. Mara bahresa,dewji,mengi nk.wengine wanadai watarudi after 9 years...nchi ya viwanda
Mbona anachelewa?ikibidi mfuate pia!
 
Wewe unaona hivyo lakini ni ukweli ....mkuu ukikwaruzana naye..ukibishana naye hata kitu kidogo...basi atakufanyia...ndio alivo......
Manji alivo kwaruzana naye kuhusu coco beach.....sasa hichi ndo kisasi...
Na mengine ndo hivo...vita 90% ni dhidi ya waislam...
Wauza unga wanajulikana na makonda anawajua lkn anashindwa kuwataja ni rafiki zake...
Don't transpose issues. Learn to stick to matters at hand.
 
...majibu yote nimeeleza hapo. Lengo kama limeleta matokeo waendelee na kesi. Na kama hawajapata kielelezo chochote wataendeshaje kesi bila ushahidi???
kwani una wasiwasi gani?subiri jumatatu mkuu
 
Wewe unaona hivyo lakini ni ukweli ....mkuu ukikwaruzana naye..ukibishana naye hata kitu kidogo...basi atakufanyia...ndio alivo......
Manji alivo kwaruzana naye kuhusu coco beach.....sasa hichi ndo kisasi...
Na mengine ndo hivo...vita 90% ni dhidi ya waislam...
Wauza unga wanajulikana na makonda anawajua lkn anashindwa kuwataja ni rafiki zake...
Acha udini kwenye mambo ya msingi, gwajima ni wa dini gani? Tafadhali dini haiwezi kuwa kinga dhidi ya jinai
 
kwani una wasiwasi gani?subiri jumatatu mkuu
Wasiwasi wangu ni kwamba tunaweza kupoteza muda na kushusha credibility ya wanaosimama kuitetea serikali kwa kuamua kuanza kuleta longolongo mahakamani kama walivyotaka kufanya jana kwa Mh. Tundu Lissu. Yaani unakuta lawyer wa serikali na mwendesha mashitaka wake wanafanya kazi ya ziada kutafuta na kuwasilisha viraka vya ushahidi badala ya ushahidi wenyewe.
 
Wasiwasi wangu ni kwamba tunaweza kupoteza muda na kushusha credibility ya wanaosimama kuitetea serikali kwa kuamua kuanza kuleta longolongo mahakamani kama walivyotaka kufanya jana kwa Mh. Tundu Lissu. Yaani unakuta lawyer wa serikali na mwendesha mashitaka wake wanafanya kazi ya ziada kutafuta na kuwasilisha viraka vya ushahidi badala ya ushahidi wenyewe.
kwani kesi ya lissu ishaanza kusikilizwa?
 
Binafisi nampongeza Rais Magufuli kwa haya anayo fanya toka ameingia Madalakani yuko sahihi kabisa. lazima kuwe na utofauti kati Selikali na matajili Matajili ukiwaacha wakaota mapembe nchi itayumba,hivi sasa ndio tumepata Baba wa Taifa kwa mala nyingine.Wenye Akili timamu tunajuwa anachokifanya huyu Mzee na Matunda yake titayaona Badae Asante Rais wangu.

Kwa jinsi ulivyoandika tu mimi hoi
 
Binafisi nampongeza Rais Magufuli kwa haya anayo fanya toka ameingia Madalakani yuko sahihi kabisa. lazima kuwe na utofauti kati Selikali na matajili Matajili ukiwaacha wakaota mapembe nchi itayumba,hivi sasa ndio tumepata Baba wa Taifa kwa mala nyingine.Wenye Akili timamu tunajuwa anachokifanya huyu Mzee na Matunda yake titayaona Badae Asante Rais wangu.
Hujawahi kuwa Na akili!!kwa hiyo ukimuona tu tajiri basi umvamie umpige marungu Na umtupe tu sero ili ajue tofauti yake na serikali? Choo kabisa
 
Kenya wanamtaka ahamishie na uwekezaji wake kule...ingekuwa Mimi chapu ngetua Nairobi chyaa.
Wenzetu wameanza kusajili matajiri waliopo bongo wanaochoshwa nasystem. Mara bahresa,dewji,mengi nk.wengine wanadai watarudi after 9 years...nchi ya viwanda
Akihamisha ile klabu ya jangwani akaenda nayo kule itakuwa poa mbona.
 
Acha udini kwenye mambo ya msingi, gwajima ni wa dini gani? Tafadhali dini haiwezi kuwa kinga dhidi ya jinai
Gwajima inajulikana..alimsaidia EL...na akamponda Pengo.
udini upo kila kwenye operation. Kama hakuna udini basi siasa...majambazi wakiiba bank watafatwa waislam msikitini...
askari akiuliwa naajambazi basi watafatwa msikitini...askari staki shari walivamiwa wanakamstwa wenye ndevu. ..wewe uko upande huo hulioni..sisi tunaona trend iko vp
ndo maana majambazi hawamaliziki kwa sababu hawakamatwi
unga nao pia ni hivo hivo.
Jambo la msingi ni kufanya operetion hizi kwa nia safi baada ya kufanya utafiti na kuchunguza mienendo ya watu.
leo unamwita owner wa Yatch club aje...ni ujinga hatikuja ...hukufanya kazi yako sawa sawa...yatch club owner ni trustees wake na wanachama wake.....common
 
Back
Top Bottom