Masikini Manji, hii ndio Bongo!

Masikini Manji, hii ndio Bongo!

Hivi ndugu zangu watanzania nani ametufundisha hili somo la kuwachukia watu waliotuzidi uwezo wa kifedha(kiuchumi) ?
Ni nature ya waafrika ni inborn character ambayo uwarudi wenyewe sababu ya kukata tamaa ya maisha na laana ya umasikini.sababu ya chuki na roho ya kimasikini matokeo yake tunazid kuwa masikini zaid.
 
If that is da case tgen salute to Maguful this had never happon...huwez kutukana mteuzi wa rais mpumbavu kwenye vyombo vya habari hata kama umekwaza kuna kumanage anger
Mteuzi wa Rais ni nani huyo?
Ina maana Rais wetu ni wa kuteuliwa?
By the way, huyo "mteuzi wa Rais" anayetukana wananchi kuwa ni vichaa unampigia makofi tu siyo?
 
Akija kudai fidia ya mabilioni ya shilling tuendelee hivi hivi kuisifia serikali huku kodi zetu Zinachezewa.
 
Hata siku moja jina la "Manji" haliwezi kufatana na neno "masikini"

Watanzania wajinga-wajinga kama mleta mada ndiyo masikini wa roho, sasa Manji kuwepo sero ndiyo umasikini huo?
 
Watanzania bwana!! Sasa nani mwenye pesa ameshakamatwa na kuonyeshwa mfano kwa hukumu nzito!
au ndio haya haya maigizo ya kutajana kwa media?
Jela huwa ni sehemu ya masikini au wale waliotofautiana na watawala,ni nadra sana kuwakuta matajiri kwenye jela za kiafrica zaid ya masuala ya kisiasa.
 
Hiv ukimfunga mtu jela hiv na hela zake unakuwa umezifungia..?
 
Mteuzi wa Rais ni nani huyo?
Ina maana Rais wetu ni wa kuteuliwa?
By the way, huyo "mteuzi wa Rais" anayetukana wananchi kuwa ni vichaa unampigia makofi tu siyo?
Ukiona point yangu huna hoja ya msingi ya ku iquote achana nayo! Naona unaleta chuki zako binafsi badala ya kuja hoja.
Chuki huziba upeo wa kufikiri.
 
Acha kuandika ujinga, waende!!! Je, waliowajiri utawaajiri wewe, kodi wanazolipa hata kama ni kidogo utafidia hilo pengo wewe? Sio ajabu kama unalipa kodi hardly haizidi laki tano Tsh. Hao unaosema waondoke kodi zao ni kuanzia mamilioni ya sh. Matajiri tuwambeleze ili wawe wazalendo na wakuze uchumi wa nchi yetu
Acha ungese punda wewe,matajiri tuwabembeleze hata kama biashara zao ni haramu kisa wanalipa kodi mamilioni?
Hizo kodi mamilioni zinatusaidia nini endapo nguvukazi ya taifa inaangamia? Ikiwa kweli anajihusisha na sembe sheria imuwajibishe. Wewe unayetaka kuwabembeleza kalale nao ili uwabembeleze vizuri waendelee kulipa mamilioni.
 
Ni nature ya waafrika ni inborn character ambayo uwarudi wenyewe sababu ya kukata tamaa ya maisha na laana ya umasikini.sababu ya chuki na roho ya kimasikini matokeo yake tunazid kuwa masikini zaid.
I’m from the city where the Muslims even Christians hate it.

Even the black folk hate to see another nigga made it
 
Mpaka muda huu yupo sero, bongo sio ulaya uende Na lawyer 9, uzani watakusaidia.

kuna Sheria,halafu kuna haki sometimes vinakaa mbalimbali.

next time jifunze kuwa saivi kuna mhimili umejichimbia sana chini.
dhana ya uhuru wa kila mhimili inapotoshwa kwa kusema mihimili ni sawa. executive ni muhimili tawala ndio mhimili unaajiri mihimili mingine. unakua na bunge la wapiga dili halafu wanajidai wao ndio wasimamizi wa serikali. unakua na mahakama ambapo haki inauzwa kama njugu halafu wasisemeshwe eti usawa wa mihimili.
 
Ukiona point yangu huna hoja ya msingi ya ku iquote achana nayo! Naona unaleta chuki zako binafsi badala ya kuja hoja.
Chuki huziba upeo wa kufikiri.
Kuwa makini unapoandika.
Unaandika kwa mihemko matokeo yake unafanya makosa ya kipuuzi halafu ukikosolewa unakuja na defensive stance.
Kuwa makini next time.
 
Mpaka muda huu yupo sero, bongo sio ulaya uende Na lawyer 9, uzani watakusaidia.

kuna Sheria,halafu kuna haki sometimes vinakaa mbalimbali.

next time jifunze kuwa saivi kuna mhimili umejichimbia sana chini.
majivuno yote na vitisho yupo ndani.
 
Akija kudai fidia ya mabilioni ya shilling tuendelee hivi hivi kuisifia serikali huku kodi zetu Zinachezewa.
Me hapo ndo napowazia kodi zetu zingetumika kutusaidia tupate huduma bora zijezitumike kulipa fidia kwa mambo ambayo yamefanyika kiutaalamu na kiushahidi na vidhibitisho kabla ya kuwatangazia umma.Tunaunga mkono sana mapambano hayo ya madawa ikiwemo na viroba vijana wanaangamia Kwa sababu ya tamaa ya watu kupata utajiri,ila zitumike njia ambazo zitakuwa zenye tija pande zote.
 
Alidhani anaenda kutaja umli na vyeo ndio maana akaenda siku moja Kabla asipokutwa na hatia Makonda kazi anayo
Tena Manji akitoka hapo na akaamua kufungua kesi fidia yake itakuwa sio ya kitoto, bado Mbowe naye. Kodi ya wanyonge haina kazi.
 
Umenichekesha hapo kwenye mhimili uliojichimbia zaidi....

Ndio upi huo? Je upo Tanganyika tu au hata Visiwani na Africa
 
Back
Top Bottom