lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,470
- 9,053
Hujamsikia yule mbunge wa sanamu ya diamond bungeni, haya ya kusingiziwa mihadarati yasikie kwa wengine!Hawez toka kimya kimya wewe mhindi unamjua au? Labda gari yake ndio imetoka kimyakimya. Wote wawili yeye na Gwaji hawana ustaarabu wa kukaa kimya tutaelewa tu...mipicha tutaiona kote

