Masikini Manji, hii ndio Bongo!

Masikini Manji, hii ndio Bongo!

Hawez toka kimya kimya wewe mhindi unamjua au? Labda gari yake ndio imetoka kimyakimya. Wote wawili yeye na Gwaji hawana ustaarabu wa kukaa kimya tutaelewa tu...mipicha tutaiona kote
Hujamsikia yule mbunge wa sanamu ya diamond bungeni, haya ya kusingiziwa mihadarati yasikie kwa wengine!
 
Najua unaushabiki na vita hii, hoja , kisheria inasemaje kumshikiria mtu awe na kosa au asiwe na kosa?pili wamesema anauza madawa ya kulevya, je kwa sasa wanamshikiria kuwa wamemkata anayao aidha ofisini, nyumbani kwake , au mahali kokote? Na je unapaofanya hivyo bila ushahidi kumshikiria kitua cha polisi, inakusaidia nn kwasababu hakutakuwa na kesi wala mashitaka yenye mashiko?hapa serikali lazima inaingia gharama, na itawalipa siku za baadaye
Ushabiki unatoka wapi mkuu yeye mwenyewe alisema nimkubwa kwa Makonda nani mwenyekiti wa klabu kubwa Africa hivyo hawezi kuharibu ratiba zake na hivyo badala ya ijumaa ataenda alhamisi alitakiwa aseme tu anaenda au haendi kama Mbowe basi
 
Mpaka muda huu yupo sero, bongo sio ulaya uende Na lawyer 9, uzani watakusaidia.

kuna Sheria,halafu kuna haki sometimes vinakaa mbalimbali.

next time jifunze kuwa saivi kuna mhimili umejichimbia sana chini.
Haki inapatikana selo au mahakamani?
 
Mpaka muda huu yupo sero, bongo sio ulaya uende Na lawyer 9, uzani watakusaidia.

kuna Sheria,halafu kuna haki sometimes vinakaa mbalimbali.

next time jifunze kuwa saivi kuna mhimili umejichimbia sana chini.


sina mbavu.....
 
Usikubali kupelekeshwa kisa uzaifu wako

Sasa mtu km anauza unga wananchi wanateketea wewe unatetea uwekezaj??

Cku nyingine utapewa msaada na jamaa half ukimkupa anakugongea mkeo hutasema kitu **** off
We unawaza kugongewa Mke watu tunawaza uchumi. Wanasiasa sasahivi wamegundua kuwekeza nchi jirani ndosalama yao maana ukiwekeza hapa utafanywa masikini. Fikiria club bilcanas ingekuwa Uganda ingekuwa imebomolewa? Siasa za ujinga zinaua nchi. MTU mwenye address kwanini usimwite kwa barua? Lengo ni kumvunjia uaminifu mbele za watu au? Wanaoitwa kwenye media niwale wasio na address maalumu.
Ukipita shule unapaswa kuerevuka na kuuonesha uwerevu katika kazi. Naeleza wengine waelewe mana upeo wako nadhani hautoshi kunielewa.
 
Lakini ajifunze kuheshimi mamlaka. Asubiri siku chadomo wakibahatisha kupata madaraka, mwaka 3035 ndiyo aendeleze dharau zake
Mkuu, Chadema wanaingiaje hapa? Anayepingana nawe siyo lazima awe Chadema. Don't try to be that low.
 
Huwezi kushindana na Dola,alidhani watu hawajajipanga,kaambiwa afadhali umekuja mapema,ngoja tukapime damu yako kwanza,halafu tukakusachi ofisini na nyumbani.Kwa mtu kama manji kumpekuwa ofisini lazima watakuta na nyaraka zingine ambazo hazitakiwi kufika mkikononi mwa polisi!!
Kwa ujinga gani alionao wakati amekuwa-alerted kuwa watampekuwa??? Hata kama angekuwa mwehu, sema shida naye akishinda kesi za madai anaomba alipwe senti/shilingi moja. Kuna mtu baada ya kadhia hii kupita na ushahidi ukikosekana anatakiwa ang'ang'niwe alipe fedha ya kumtia fadhaa yeye na waliomtuma...
 
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Kwa akili yako kabisa eti manji yupo ndani. Mnachekesha sana
Watu wengine mnatia huruma! Kwa kuwa ni mhindi basi unaona ni ajabu Kuwekwa ndani! Jana kuna afisa wa polisi aliongea na wanahabari akasema tangu aripoti na askofu bado wanawashikilia! Hivi unadhani wanawashikilia huku wakilala majumbani kwao? Hatufurahii hilo lakini si la ajabu!
 
Mpaka muda huu yupo sero, bongo sio ulaya uende Na lawyer 9, uzani watakusaidia.

kuna Sheria,halafu kuna haki sometimes vinakaa mbalimbali.

next time jifunze kuwa saivi kuna mhimili umejichimbia sana chini.
Maskini manji???
 
Mkuu, Chadema wanaingiaje hapa? Anayepingana nawe siyo lazima awe Chadema. Don't try to be that low.
Chadema wanapinga kila kitu kwa sasa...kama nawe unapinga uko chadema pia mzee.
 
Mpaka muda huu yupo sero, bongo sio ulaya uende Na lawyer 9, uzani watakusaidia.

kuna Sheria,halafu kuna haki sometimes vinakaa mbalimbali.

next time jifunze kuwa saivi kuna mhimili umejichimbia sana chini.
Nahuo ndo ukweli mbona akna dangote,billgates,caros slim wanaheshimu serikali zao Kwani hawa ni akina Nani? Najua hwawez amin saiv ila baadae wataamin tu.... Halafu mwenyenchi angekuwa kama wanavofikiria wao makonda angeshitakiwa lakini KWA magufuli hahaaaa... WAKAJIANDAEE
 
Nasisitiza hekima kuu kutumika ktk michakato inayosimamiwa na wanasiasa kwa maslahi ya taifa sasa na baadae..

Tukilejea njia zilizotumiwa kwenye kinachoitwa primitive accumulations of capital yapo mengi ya kujifunza.

Kuna level ya ufanyabiashara,uwekezaji na ujasiliamali mtu akifanikiwa kufika anapaswa kuheshimiwa,kuhenziwa na kupewa misaada ya kimkakati hasa kwa kuzingatia athari za uwekezaji wake katika uchumi na taifa kwa ujumla.Mfano: Ulipaji wa kodi,Ajira rasmi na zisizo rasmi,Mzunguko wa fedha.
 
Kwa ujinga gani alionao wakati amekuwa-alerted kuwa watampekuwa??? Hata kama angekuwa mwehu, sema shida naye akishinda kesi za madai anaomba alipwe senti/shilingi moja. Kuna mtu baada ya kadhia hii kupita na ushahidi ukikosekana anatakiwa ang'ang'niwe alipe fedha ya kumtia fadhaa yeye na waliomtuma...
Kumpekuwa mtuhumiwa ni process tu ya kisheria kabla ya kufika mahakamani,na sio lazima ukutwe na kidhibiti ukipekuliwa
 
Waende tu, tuzalisha matajiri wengine.
Unadhani ni rahisi kama unavyofikiri kuzalisha matajiri.ujielewi ww.watu wamejenga unakuja kirahisi kutaka kuwachafua kwa karatasi za kipuuzi.hakuna anayepinga mapambano ya dawa za kulevya ila mbinu zile za kudharirisha watu.Najua vijana wanaathirika lkn tutumie njia njema na kufuata misingi ya utawala bora na sheria angalia sasa kati ya 65 amekuja 4 tena maarufu tu kwa sababu aliwarenga wale hwachafue ndo maana wengine akawa anataja a.k.a.unapambana na jambo km ilo unfanya maigizo.mwisho ni kuwadharirisha tu.
 
Kenya wanamtaka ahamishie na uwekezaji wake kule...ingekuwa Mimi chapu ngetua Nairobi chyaa.
Wenzetu wameanza kusajili matajiri waliopo bongo wanaochoshwa nasystem. Mara bahresa,dewji,mengi nk.wengine wanadai watarudi after 9 years...nchi ya viwanda
Naona umeanza ngonjera kama zile za sakata la dangote
 
Hata akikaa wiki nzima bado haitoondoa ukweli kama sisi wote tunaofurahia hatuwezi kumfikia utajiri wake hata robo!
Nani kakwambia kuna watu wanafurahia? Tunafurahia vita dhidi ya madawa ya kulevya inaenda vizuri lakini bila kujali Nani yuko ndani maana ni kwa nia njema! Kama hahusiki ataachiwa tu, kama anahusika mwache abebe mzigo wake!
 
Back
Top Bottom