achana nao....urafiki na wanawake huwa ni wa mashaka sana....tafuta marafiki wengine (wa kiume sana sana) na utaenjoy.....this is from my experience
<br />achana nao....urafiki na wanawake huwa ni wa mashaka sana....tafuta marafiki wengine (wa kiume sana sana) na utaenjoy.....this is from my experience
<br />Ndugu zangu wapendwa wana jf naombeni msaada wenu wa dhati maana ninyi ndio marafiki zangu wa karibu sana. <br />
Kuna kipindi nilikua na marafiki wengi sana nawalikuwa na upendo wa dhati kwangu nanilikua naelewana na wote chakushangaza baadhi ya haohao mashoga zangu walikua wananikataza nisiwe na urafiki na wengine kitu ambacho mimi siwezi sijakosana na mtu kwanini nimchunie? Cha ajabu wamenipandishia viöo kila mtu kwa siku yake na hadi <br />
wote wameisha bila kugombana wala nini <br />
yaani sasa hivi roho inaniuma sina rafiki hata <br />
mmoja najisikia upweke mkubwa sana kila nikijitaidi kujipendekeza kila mmoja an<br />
adai yuko busy jamani nisaidieni mie nifanyeje?<br />
Upweke unaumiza au tatizo ni umaskini wangu maana wao wako swafi <br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
0<br />
<br />
<br />
00<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
0
si ana mpenzi wake? unafikiri atapewa ruhusa ya kuwa na mahusiano ya karibu na wanaume na bwana wake hata kama ni urafiki wa kawaida?achana nao....urafiki na wanawake huwa ni wa mashaka sana....tafuta marafiki wengine (wa kiume sana sana) na utaenjoy.....this is from my experience
<br /><font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">ni mikia ya fisi......</span></font></font>
<br />Urafiki wa wanawake mara nyingi unakuwa wa mashaka sana tena sana
<br />sasa mbona hao inaonekana dhahiri sio watu wazuri kabisa? bibie kuwa mpole na wala roho isikuume na pia mshukuru mungu wamekutosa, wangekufundisha tabia mbaya sana ya kuwachukia na kuwatenga binadamu wenzio!!!!!!!!!!!!! furahi kwa kuwa una marafiki wa kweli JF
<br />na wewe una matatizo<br />
huwezi kuwa na marafiki weengi mno na hutaki kuchagua marafiki.....<br />
<br />
huwezi kuwa best friend wa kila mtu........<br />
<br />
lazima uwe na rafiki mmoja au wawili wa karibu,wengine kwa mbaali hivi...
Kuliwa uroda wakati gani, akiwa amelewa au usingizini?Hapo napo inabidi awe makini sana, urafiki wa wanaume huwa very trick unaweza kuishia kuliwa uroda na mtu uliyetaka muwe washikaji au mkagombana na rafiki uliyemzoea.
Kuliwa uroda wakati gani, akiwa amelewa au usingizini?
Hivyo kwani na hao marafiki wa kike alokuwa nao walikuwa wanakulana uroda?
Mtu hula/huliwa uroda iwapo tu anataka; na kama anataka,
kuna ubaya gani kula uroda na rafiki.
Si uroda tu, halafu mnaendelea na urafiki wenu?