Mashindano ya netiboli mapaja na ch*pi nje nje

Mashindano ya netiboli mapaja na ch*pi nje nje

Ndo vipaumbele vya viongo wetu mdau....
Na hapo salma kikwete na mke wa pinda wanayapigia debe kama hawana akili nzuri, endapo ktk wachezaji kungekuwa na watoto wao cjui wangejickiaje? kucheza netball cyo lazima kuvaa vichupi kama vile.
 
Sasa wewe ulitaka wavae nini?
Sasa wewe ulitaka wavae nini? Max skirts. Hilo ndio vazi la netball.
Acha kuangilia hizo picha/tv kama unasumbuka kaka. Ya nini kujipa mfadhaiko???


Wadau mimi si mfuatiliaji wa mashindano haya. Ila huwa nayaonaga wakati wa habari na magazetini. Kitu kikubwa ninachokiona ni wanawake wakiwa uchi mapaja wazi basi. Leo naangalia Tbc kaoneshwa mchezaji mmoja kavaa sketi fupi mno hadi ch**pi inaonekana.

Nkikimbuka mashindani haya yalivyopigiwa debe nabaki kinywa wazi. Was it worth?
 
Na hapo salma kikwete na mke wa pinda wanayapigia debe kama hawana akili nzuri, endapo ktk wachezaji kungekuwa na watoto wao cjui wangejickiaje? kucheza netball cyo lazima kuvaa vichupi kama vile.

At last kapatikana mchangiaji mwenye akili timamu. Hao wanaoshabikia wawapeleke dada zao basi tukawaangalie kama ni vizuri au siyo mkuu
 
hizo sio ch*pi, ni bukta, na rangi zimefanana, kwa sababu ni sehemu ya jezi, ndani ya bukta huwa tunavaa nguo za ndani kama kawaida....
 
Na hapo salma kikwete na mke wa pinda wanayapigia debe kama hawana akili nzuri, endapo ktk wachezaji kungekuwa na watoto wao cjui wangejickiaje? kucheza netball cyo lazima kuvaa vichupi kama vile.

Sasa tukifikia huko na akina dada nao watasema kuwa mpira wa miguu unawapa mfadhaiko pia. Kwani zile Bukta tunazovaa zinaweka mapaja nje na pia ni nyepesi. Mbona tunavaa na nguo nyingine ndani kuongeza uzito ingawa mapaja tunaweka nje. Kwa nini tusivae Suruali katika Football??

Kwenye Netball wanavaa Sketi, ndio ni fupi lakini huwa wanavaa na nguo nyingine kwa ndani wewe hata ukipiga chabo hutaona kufuli utaishia katika ile nguo tu, Hivyo anajimwaga awezavyo uwanjani.



MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Kuna watu hapa wakienda kwenye mashindano ya kuogelea itabidi wafumbe macho kabisa.
Au
hata wakifika beach sijui itakuwaje?
 
Chief' acha 2faidi vyote vyote, uku 2nacheck game pia 2nafaid hizo swaga za hao ma queen, kikubwa burudan
 
kama ni hivyo tungekuwa hatuangalii long tenis za akina Serena. Tatizo lako badala ya kuangalia mchezo unaangalia mambo mengine::

Napenda kumsahihisha hapo isomeke lawn tennis siyo long tenis
 
Nilipata kushangaa zamani kwa vazi maalum la Mpira wa Pete... Sasa sishangai tena!
 
kala sehemu na mavazi yake ,hayo yanafaa pale.Hawezi kuwa free kuruka na magauni hivyo kurushana roho ni kawaida mana mwingine akivaa gauni unawarusha watu roho.Mm nikimwona binti kavaa hijabu ninachanganyikiwa maana anapendeza na unaweza kuimagine vitu vingi!
 
kila sehemu na mavazi yake ,hayo yanafaa pale.Hawezi kuwa free kuruka na magauni hivyo kurushana roho ni kawaida mana mwingine akivaa gauni unawarusha watu roho.Mm nikimwona binti kavaa hijabu ninachanganyikiwa maana anapendeza na unaweza kuimagine vitu vingi!
 
Hahahahahaha waheshimiwa kunaatakae uliza pia kwanini kwenye michezo ya kuogelea washiriki wanavaa utupu
 
netball.jpg
Mashindano ya netiboli mapaja na ch*pi nje nje
 
Sasa tukifikia huko na akina dada nao watasema kuwa mpira wa miguu unawapa mfadhaiko pia. Kwani zile Bukta tunazovaa zinaweka mapaja nje na pia ni nyepesi. Mbona tunavaa na nguo nyingine ndani kuongeza uzito ingawa mapaja tunaweka nje. Kwa nini tusivae Suruali katika Football??

Kwenye Netball wanavaa Sketi, ndio ni fupi lakini huwa wanavaa na nguo nyingine kwa ndani wewe hata ukipiga chabo hutaona kufuli utaishia katika ile nguo tu, Hivyo anajimwaga awezavyo uwanjani.



MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!

Leo naona gauge ya uwezo wa kufikiri imeshuka sana mkuu sijui ni hii mvua ya dar hapa! Mawazo gani hayo, yani mfano upo very irrelevant, dah! Haya bana.
 
Back
Top Bottom