silent lion
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,161
- 1,540
Wadau mimi si mfuatiliaji wa mashindano haya. Ila huwa nayaonaga wakati wa habari na magazetini. Kitu kikubwa ninachokiona ni wanawake wakiwa uchi mapaja wazi basi. Leo naangalia Tbc kaoneshwa mchezaji mmoja kavaa sketi fupi mno hadi ch**pi inaonekana.
Nkikimbuka mashindani haya yalivyopigiwa debe nabaki kinywa wazi. Was it worth?
Nkikimbuka mashindani haya yalivyopigiwa debe nabaki kinywa wazi. Was it worth?