Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,941
DaahDaah ampumzike kwa Amani
Nakumbuka mwaka 2014 kombe la Dunia alionyesha umahiri mkubwa Sana kuchambua SOKA pale TBC1 na kumshinda hata Dr leaky
Pia haji manara ndiye aliyewaomba tbc wamuajiri ni baada yakuona anauwezo mkubwa wa kuchambua mpira kwani Kuna vitu alivichambua ambavyo Haji mwenyewe hakuwa na uelewa navyo, kwakifupi Haji ndiye alimpigia pande tbc awali ya hapo kashasha alikuwa hajulikani.