To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 28,214
- 65,826
Hayo ndio mambo sasaMechi ya final tutaenda pamoja usijali.
Hayo ndio mambo sasaMechi ya final tutaenda pamoja usijali.
Sio lazima kukamuliwa, labda kwenu huko.Taka wanazo kwenye matumbo yao. Ndo maana ukifa kabla ya Maziko Lazima kukamuliwa mavvi yote ndo ukazikwe
Uje na Demi kuna tiketi 3 hapa.Hayo ndo mambo sasa
Hiyo ni kawaida Yao hata michuano iliyopita walifanya pia Ni ustaarabu uliotukuka.Hii tabia ni ya kipekee kabisa, heshima ni kitu cha bure. Mpira ulivyoisha tu, wakakusanya taka zilizopo maeneo walipo wao, zote, na kuzitupa kwenye mifuko ya rambo na kutupa mahali pa taka na kuondoka.
Uhusiano wa Qatar na Japan kwa kitendo hiki aisee, itajenga urafiki mkubwa sana kidiplomasia.
Nimejifunza mengi sana kwa maisha ya Japan na nje ya Japan.
Na tukijaribu kuleta hayo huku kila Mtu atalia "udikteta".Wenzetu wanaishi kwa miiko, ukijaribu kwenda kinyume na hiyo miiko adhabu yake ni kifo. Ndio maana unaona wote wana muelekeo mmoja katika kufanya jambo.
Miiko ndiyo mpango mzima hata ngedere wanatambua uwepo wa miiko, wakilala juu ya mti usiku kamwe hawadiriki kuangusha kinyesi ardhini, ni mwiko kabisa, mmoja akidiriki basi anashughulikiwa vilivyo, sisi tunazidiwa utii hata na wanyama.Wenzetu wanaishi kwa miiko, ukijaribu kwenda kinyume na hiyo miiko adhabu yake ni kifo.
Wangefanya wabongo mngesema walikuja na uchawi wao sasa wanaukusanya ki aina,ila kwakuwa ni wa Japana mnasema wanafanya usafi...Hii tabia ni ya kipekee kabisa, heshima ni kitu cha bure. Mpira ulivyoisha tu, wakakusanya taka zilizopo maeneo walipo wao, zote, na kuzitupa kwenye mifuko ya rambo na kutupa mahali pa taka na kuondoka.
Uhusiano wa Qatar na Japan kwa kitendo hiki aisee, itajenga urafiki mkubwa sana kidiplomasia.
Nimejifunza mengi sana kwa maisha ya Japan na nje ya Japan.
Unaongelea kitu ambacho hakipo.Wangefungwa wangefanya huo usafi?
They are traitors,Germany was their ally during WW2.They murdered Germany and they made sure no traces were left behind🥲Poor Upinde
Ndiyo walishafanya kombe la Dunia lililopita walifungwa na wakafanya usafiWangefungwa wangefanya huo usafi?
There is no friend or enemy in this life ..we interacts with people just because we share the same interestsThey are traitors,Germany was their ally during WW2.
Na hawapendi vitambi kule Tokyo ukiwana kitambini aibuSio mara ya kwanza wanafanyaga ivyo ni kawaida kila kombe la dunia..Japan ndo inaongoza kwa watu wastaarabu hawapendi vurugu na wasafi sana yaani wanajiremba mpaka wanaume hao na Korea ni jadi zao...Nilishawahi sikia nchi izo unaweza kukosa kazi katika baadhi ya sehemu kama sio smart na una muonekano mbaya.
Umeua sana mkuuHao jamaa ndio wanaongoza kwa ustaarabu na tabia nzuri duniani.
Na hapo hawamjui Yesu wala Allah wa Mtume muhammad.
Ila kina sisi wakristo na waislamu ibada nyingii ila tabia mbovuu