Mashabiki wa Japan baada ya mpira kuisha wakusanya taka uwanjani na kuondoka

Walikusanya taka kwenye ile mechi ya kwanza ya Qatar na Ecuador video ikasambaa,ila nafikiria wangekua waAfrica wameokota wangetrend hivi? Au wangeonekana ni kazi yao,,,,Just saying!
Mwaka gani?
Kwani Qatar na Ecuador hawajakipiga bado
 
Japan ni Moja ya jamii yenye kiwango kikubwa Cha utu na ustaarabu.
Kwao kitu kinachowaunganisha watu ni ubinaadamu tofauti na baadhi ya mijitu itumiayo vitabu vya dini kubagua wengine ambao hawajakunali mafundisho ya vitabu vyao ambao kwao huona binaadamu au mwenzao ni yule anayefuata mafundisho Yao.

Hii inskubaliana na Moja ya nukuu ya mwanafilosofia JEREMI BENTHAM aliyewahi kusema" Watu hawatendi mema au mabaya kwa sababu ya uwepo ama hofu ya Mungu, watu hawafanikiwi au kutokufanikiwa kwa sababu ya kusali Sana au kutobkusali.Kama Mungu asingeluwepo au akawa yupo lakini Hana muda wa kumfuatilia binaadamu bado wengekuwepo watenda mema na watenda mabaya, wangekuwepo matajiri na maskinj nk.

Ukiangalia hili kombe Kuna mijitu imetumia nguvu kubwa na kulifanyabkama ni uenezi wa Imani Yao lakini hawafanyi matendo yoyote tofauti kama hawa kuwatofautisha na jamii nyingine zaidi ya kusema dini yetu ni nzuri Sana njoo huku, kifungu ama sura Fulani inasema hivi Fanya hivi lakini kwao hakuna lolote unapomfanyia tathmini ya Maisha ya kawaida tofauti na ayasemayo kwa mdomo na anavyovaa

Hao jamaa ndio wanaongoza kwa ustaarabu na tabia nzuri duniani.

Na hapo hawamjui Yesu wala Allah wa Mtume muhammad.

Ila kina sisi wakristo na waislamu ibada nyingii ila tabia mbovuu
Mshaanza.


Huo utu, tabia njema na ustaarabu kuliko binaadamu wote walianza kuwa nao baada ya vita kuu ya pili au?
 
Hii tabia ni ya kipekee kabisa, heshima ni kitu cha bure. Mpira ulivyoisha tu, wakakusanya taka zilizopo maeneo walipo wao, zote, na kuzitupa kwenye mifuko ya rambo na kutupa mahali pa taka na kuondoka.

Uhusiano wa Qatar na Japan kwa kitendo hiki aisee, itajenga urafiki mkubwa sana kidiplomasia.

Nimejifunza mengi sana kwa maisha ya Japan na nje ya Japan.
Hata ile michuano iliyofanyika kwao kipindi kile walifanya hivi hivi....
 
Hao jamaa ndio wanaongoza kwa ustaarabu na tabia nzuri duniani.

Na hapo hawamjui Yesu wala Allah wa Mtume muhammad.

Ila kina sisi wakristo na waislamu ibada nyingii ila tabia mbovuu
🤣🤣🤣🤣 Aise umemaliza kila kitu.👍
 
Kesho CCM wakiamka utasikia "tutakuwa kama Japan".

Haya mambo yanawezekana sehemu ambazo watu wana hulka zinazofanana. Sisi Nyerere alijaribu kutuunganisha ila wakati huo huo hata yeye kuna mizizi ya ubaguzi aliiweka na mpaka leo inatusumbua. Ubaguzi una athari kubwa sana za muda mrefu kwa anayebaguliwa, anayebagua na yule anayeshuhudia ubaguzi ukifanyika.

Hao wajapan kuna tamaduzi zao walitufundisha ilikuwa zianze kutumika katika uendeshaji wa Serikali ila baada ya juhudi zote mipango ikatupiliwa mbali.
 
Back
Top Bottom