Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 15,043
- 32,749
Kuna mechi walifungwa ila walifanya kama ivyo kusafisha uwanja kombe lilopita na walitoka ila ni wastaarabu.Kama huwa wanafanya hivyo mara nyingi na sisi hatujajifunza kutoka kwao, basi tuna matatizo sisi
Sisi bado kwa kweli hata maofisini kwetu kabisa kukuta kikombe cha chai kichafu kipo juu ya meza siku nzima fresh tu.
Matatizo sana wabongo ukienda nchi za watu utashangaa sana hapo Qatar tu ni kusafi mpaka mtu unaona aibu hata kuangusha Ganda la pipi ila bongo ni uchafu tu ..Tunapata magonjwa ya ovyo daily.