Je, Utamaduni wa Simba na Falsafa yao ya Mpira vinaenda sawa na Kocha aina ya Robertinho?

Tallbata

Member
Jan 31, 2023
37
101
Maelfu ya mashabiki baada ya mechi za Ngao ya Jamii kuisha na Simba kuibuka Bingwa, kumekuwa na kelele nying juu ya performance ya timu uwanjani.

Wengi wao hawaridhishwi nayo ila hapa kuna swali la kujiuliza, wakati Simba wanamsajili Robertinho kama kocha wao waliangalia juu ya falsafa yake inafanana na timu yao ama walimsajili kutokana na upepo tu wa matokeo aliyokuwa anapata pale Vipers kwenye CAF pasipo kuangalia ipi ni staili ya kucheza?

Mfano mzuri ukienda kwenye Klabu ya FC Barcelona wana falsafa yao kama timu na hata wanapohitaji kocha hawachukui ambae yupo nje ya falsafa yao ya kumiliki mpira. Huwezi ona siku Barca wakamsajili kocha aina ya Mourinho au Simeone kufundisha klabu yao kutokana na falsafa zao.

Bongo ni tofauti, timu ambayo falsafa yake ni kumiliki mpira inaajiri Kocha ambaye anaamini katika direct football halafu performance ikiwa mbovu analaumiwa kocha.

Guys hapa wa kulaumiwa ni viongozi wa klabu juu ya kuleta kocha ambae haendani na tamaduni ya timu ilihal wao falsafa ya timu wanaitambua na sio kocha kama mnavyodai.

Ni sawa na kumleta Mourinho na kufosi timu yake icheze possession based football ni kujisumbua sababu sio kitu ambacho yeye anakiamini ndugu zang wa Simba.
 
Nimempenda sana Rafiki yangu MPWAYUNGU Village.

Ameomba kwa Uongozi WA Jamii Forum ( Moderators kuwa w fute Nyuzi zake ZOTE kwa sababu ZIFUATAZO.

1. Ameona ZINAJAZA SEVA za Jamii Forum bila sababu yoyote ya Msingi.

2. Ameona hazina umuhimu sana Kwa Jamii.
Hazina madini AU fursa kwa Jamii kuweza kuzitumia kama ( Reliable source of Information).

NADHANI TUNAOANDIKA PUMBA TUJITEKEBISHE.

TUILINDE JAMII forum WAOVU wasiishinde.
 
Maelfu ya mashabiki baada ya mechi za ngao ya jamii Kwisha na simba kuibuka bingwa kumekua na kelele nying juu ya performance ya timu uwanjan weng wao hawaridhishwi nayo Ila apa kna swali la kujiuliza wakat Simba wanamsajili robertinho Kama kocha wao je waliangalia juu ya falsafa yake Kama kocha inafanana na timu yao ama walimsajili kutokana na upepo tu wa matokeo aliyokuwa anapata pale vipers kule caf pasipo kuangalia ipi ni staili ya kucheza?? Mfano mzur ukienda kweny klabu ya fc Barcelona Wana falsafa yao Kama timu na hata wanapohtaj kocha awachukui kocha ambae ni nje ya falsafa yao ya kumilik mpira huwez ona siku Barca wakamsajili kocha aina ya Mourinho au simeone kufundisha klabu yao kutokana na falsafa zao, bongo ni tofauti timu ambayo falsafa yake ni kumiliki mpira inaajili Kocha ambaye anaamini katika direct football alafu performance ikiwa mbovu analaumiwa kocha. Guys hapa wa kulaumiwa ni viongoz wa klabu juu ya kuleta kocha ambae haendani na tamaduni ya timu ilhal wao falsafa ya timu wanaitambua??
umesema swala la kiufundi na upo sahihi, mpira unaochezwa na yanga hivi sasa kwa hapa bongo ndio falsafa ya simba kwa miaka mingi.

Hizi timu mbili ni kama zimebadilishana namna ya uchezaji.

Hata hivyo kwa kuwa wachezaji waliopo na waliosajiliwa simba wamekuja mwalimu akiwepo ni jukumu lake awaandae kwa falsafa zake timu ipate ushindi.

Falsafa sio hoja sana kama inakupatia matokeo mazuri.
 
Nimempenda sana Rafiki yangu MPWAYUNGU Village.

Ameomba kwa Uongozi WA Jamii Forum ( Moderators kuwa w fute Nyuzi zake ZOTE kwa sababu ZIFUATAZO.

1. Ameona ZINAJAZA SEVA za Jamii Forum bila sababu yoyote ya Msingi.

2. Ameona hazina umuhimu sana Kwa Jamii.
Hazina madini AU fursa kwa Jamii kuweza kuzitumia kama ( Reliable source of Information).

NADHANI TUNAOANDIKA PUMBA TUJITEKEBISHE.

TUILINDE JAMII forum WAOVU wasiishinde.
Ko ulkua unamaansha??
 
Maelfu ya mashabiki baada ya mechi za Ngao ya Jamii kuisha na Simba kuibuka Bingwa, kumekuwa na kelele nying juu ya performance ya timu uwanjani.

Wengi wao hawaridhishwi nayo ila hapa kuna swali la kujiuliza, wakati Simba wanamsajili Robertinho kama kocha wao waliangalia juu ya falsafa yake inafanana na timu yao ama walimsajili kutokana na upepo tu wa matokeo aliyokuwa anapata pale Vipers kwenye CAF pasipo kuangalia ipi ni staili ya kucheza?

Mfano mzuri ukienda kwenye Klabu ya FC Barcelona wana falsafa yao kama timu na hata wanapohitaji kocha hawachukui ambae yupo nje ya falsafa yao ya kumiliki mpira. Huwezi ona siku Barca wakamsajili kocha aina ya Mourinho au Simeone kufundisha klabu yao kutokana na falsafa zao.

Bongo ni tofauti, timu ambayo falsafa yake ni kumiliki mpira inaajiri Kocha ambaye anaamini katika direct football halafu performance ikiwa mbovu analaumiwa kocha.

Guys hapa wa kulaumiwa ni viongozi wa klabu juu ya kuleta kocha ambae haendani na tamaduni ya timu ilihal wao falsafa ya timu wanaitambua na sio kocha kama mnavyodai.

Ni sawa na kumleta Mourinho na kufosi timu yake icheze possession based football ni kujisumbua sababu sio kitu ambacho yeye anakiamini ndugu zang wa Simba.
Hitimisho lako ni nini kifanyike?
 
Maelfu ya mashabiki baada ya mechi za Ngao ya Jamii kuisha na Simba kuibuka Bingwa, kumekuwa na kelele nying juu ya performance ya timu uwanjani.

Wengi wao hawaridhishwi nayo ila hapa kuna swali la kujiuliza, wakati Simba wanamsajili Robertinho kama kocha wao waliangalia juu ya falsafa yake inafanana na timu yao ama walimsajili kutokana na upepo tu wa matokeo aliyokuwa anapata pale Vipers kwenye CAF pasipo kuangalia ipi ni staili ya kucheza?

Mfano mzuri ukienda kwenye Klabu ya FC Barcelona wana falsafa yao kama timu na hata wanapohitaji kocha hawachukui ambae yupo nje ya falsafa yao ya kumiliki mpira. Huwezi ona siku Barca wakamsajili kocha aina ya Mourinho au Simeone kufundisha klabu yao kutokana na falsafa zao.

Bongo ni tofauti, timu ambayo falsafa yake ni kumiliki mpira inaajiri Kocha ambaye anaamini katika direct football halafu performance ikiwa mbovu analaumiwa kocha.

Guys hapa wa kulaumiwa ni viongozi wa klabu juu ya kuleta kocha ambae haendani na tamaduni ya timu ilihal wao falsafa ya timu wanaitambua na sio kocha kama mnavyodai.

Ni sawa na kumleta Mourinho na kufosi timu yake icheze possession based football ni kujisumbua sababu sio kitu ambacho yeye anakiamini ndugu zang wa Simba.
Uko sahihi.
 
Falsafa ya Simba ni
LUNYASI.
MPIRA upite kwenye Majani.

Ili Simba icheze mpira wake Lazima iwe na

Wachezaji wazuri mno Katikati ya kiwanja.

Kama Bangala na Aucho.
Simba Wana kanute na Mzamiru
Hawa ni WATU wa Butua Butua.

ILITAKIWA waswahili kiungo WA CHINI mzuri mguuni kama Bangala. Acheze na NGOMA.
 
Falsafa ya Simba ni
LUNYASI.
MPIRA upite kwenye Majani.

Ili Simba icheze mpira wake Lazima iwe na

Wachezaji wazuri mno Katikati ya kiwanja.

Kama Bangala na Aucho.
Simba Wana kanute na Mzamiru
Hawa ni WATU wa Butua Butua.

ILITAKIWA waswahili kiungo WA CHINI mzuri mguuni kama Bangala. Acheze na NGOMA.
Kuna mda unahitaj mchezaj mmoja kubadil upepo wa timu nzima
 
Falsafa ya Simba ni
LUNYASI.
MPIRA upite kwenye Majani.

Ili Simba icheze mpira wake Lazima iwe na

Wachezaji wazuri mno Katikati ya kiwanja.

Kama Bangala na Aucho.
Simba Wana kanute na Mzamiru
Hawa ni WATU wa Butua Butua.

ILITAKIWA waswahili kiungo WA CHINI mzuri mguuni kama Bangala. Acheze na NGOMA.
Nmeiweka vizur kimaandish apo vp??
 
Back
Top Bottom