Kuna taarifa kuwa mashabiki wa Simba kutoka Mbeya wamepata ajali maeneo ya Vigwaza Pwani, wakiwa njiani kuelekea Dar, kushuhudia mechi ya Simba na Ahly.
Ajali hii imetokea baada ya gari lao kigongana na roli Alfajiri ya Leo!
Mungu wape wepesi ndugu zetu!
Tutaendelea kupata taarifa kamili kutoka Eneo la tukio.
Tumeoita hapo na sikutaka kuchukua picha Kwa sababu za kimaadili.
Najua Kuna watu watataka picha !
Gari lililopata ajali likiwa limebeba mashabiki wa Simba
Ajali hii imetokea baada ya gari lao kigongana na roli Alfajiri ya Leo!
Mungu wape wepesi ndugu zetu!
Tutaendelea kupata taarifa kamili kutoka Eneo la tukio.
Tumeoita hapo na sikutaka kuchukua picha Kwa sababu za kimaadili.
Najua Kuna watu watataka picha !
Gari lililopata ajali likiwa limebeba mashabiki wa Simba