Masaibu ya members wa JamiiForums

Masaibu ya members wa JamiiForums

Nenda kule kwenye jukwaa la Ajira madon wa jf walivyokuwa wanahangaika kujaza fomu ya maombi ya sensa.

Kuna member nilikuwa najua ni mfanyabiashara mkubwa wa magari na biashara nyingine nyingi,,Nashangaa kukuta post ya kuwa hajatumiwa password ya maombi ya sensa na analalamika mtandao unasumbua[emoji23][emoji23]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani miongoni mwa mitandao ya kijamii yenye impact kubwa kwenye jamii naweza kusema jamii forum ni no1.

Tatizo linaanzia kwa member wake..
Yani humu jamii forum bana kila mtu ana PHD.
Kila mtu ameshakwenda marekani Russia na Ukraine...

Yaani jamii forum kila mtu ana nyumba zaidi ya Moja na anaviwanja goba.

Yaani jamii forum kila mtu ana degree

Yani jamii forum kila mtu ana pesa Ila ajui afanye biashara Gani tena zaidi ya 100m

Yaani jamii forum kila mtu ni daktari na anajua kwa undani masuala ya afya

Kila mtu jamii forum ni mchambuzi wa kisiasa duniani

Yaani jamii forum kila mtu amewai kusafiri mikoa yote.

Kifupi jamii forum wajuaji ni wengi mtu unaweza kuhisi upo nyuma kimaendeleo kwa sababu watu wanaandika kama mabilionea.

Yani jamii forum kila mtu ni tajiri aisee..
Alafu jamii forum Tabaka la chini ni wahitumu wenye degree ndio wanaonekana mabwege

Aisee ni hatari sana.
Mimi sijawahi kusafiri mikoa yote.
 
Mbona umenza kuniwazia mabaya mapema?? Nikuseme ili iweje?? Sisi wengine tumekuwa akili sio kama hivi vitoto humu. Acha wasiwasi mkuu.
Usiwe negative kwa kila mtu
Bado tena unasema wengine ni vitoto mkuu😆😆😆
Aiseeeee
 
Nenda kule kwenye jukwaa la Ajira madon wa jf walivyokuwa wanahangaika kujaza fomu ya maombi ya sensa.

Kuna member nilikuwa najua ni mfanyabiashara mkubwa wa magari na biashara nyingine nyingi,,Nashangaa kukuta post ya kuwa hajatumiwa password ya maombi ya sensa na analalamika mtandao unasumbua[emoji23][emoji23]
Dah

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Nina PHD nilisoma Harvard university mwaka 2007

Hela ndio usiseme juzi juzi nimewekeza UTT Amis zaidi ya 16537 trillions..

Sijajua wewe.
Alafu nilikuwa nauliza biashara Gani inatoka zaidi eneo unaloishi mana nina 7bilion nataka kuwekeza Ila Sina msimamizi.

Sent from my itel S32LTE using JamiiForums mobile app
Mi sina kwa hiyo si kila mtu
 
Bado tena unasema wengine ni vitoto mkuu😆😆😆
Aiseeeee
Si hao ambao wamekufanya uamini kwamba wanaume tunaweza kuja kutangaza ya sirini huku majukwaani. Hiyo tabia ni ya kitoto na mimi akili yangu ni ya kiutu uzima. Usiwe na wasi Darlin.
 
Mbona malofa tupo humu haha

Kuna siku nlitupia picha humu nko kwenye bodaboda/mwendokasi
Wacha nisilibiwe ...haha

Ova
Miaka ya nyuma huko ulitupia pic ukiwa dumila unapiga kahawa na kashata pembeni uko na chupa ya vant aisee wadau walimwaga mapovu balaaa.
 
Si hao ambao wamekufanya uamini kwamba wanaume tunaweza kuja kutangaza ya sirini huku majukwaani. Hiyo tabia ni ya kitoto na mimi akili yangu ni ya kiutu uzima. Usiwe na wasi Darlin.
Wala hata mkuu hamna ambae ashanitangaza kwa chchote
Naongea tu kwa uhalisia ulivyo…
 
Wala hata mkuu hamna ambae ashanitangaza kwa chchote
Naongea tu kwa uhalisia ulivyo…
Hapana kabisa mkuu. Sijasema kwamba kuna mtu amewahi kukutangaza wewe kama wewe. Ila wapo watoto wanaotangaza ya huko hapa hadharani. Mkuu hapa hapatufai kabisa. Tuhamie PM bora
 
Jf imetubusti busti sana

Wengine tumepata mabwana hadi mapadre humu humu na wametuacha humu humu

Jf kama maji kila upande inapita
 
Yaani miongoni mwa mitandao ya kijamii yenye impact kubwa kwenye jamii naweza kusema jamii forum ni no1.

Tatizo linaanzia kwa member wake..
Yani humu jamii forum bana kila mtu ana PHD.
Kila mtu ameshakwenda marekani Russia na Ukraine...

Yaani jamii forum kila mtu ana nyumba zaidi ya Moja na anaviwanja goba.

Yaani jamii forum kila mtu ana degree

Yani jamii forum kila mtu ana pesa Ila ajui afanye biashara Gani tena zaidi ya 100m

Yaani jamii forum kila mtu ni daktari na anajua kwa undani masuala ya afya

Kila mtu jamii forum ni mchambuzi wa kisiasa duniani

Yaani jamii forum kila mtu amewai kusafiri mikoa yote.

Kifupi jamii forum wajuaji ni wengi mtu unaweza kuhisi upo nyuma kimaendeleo kwa sababu watu wanaandika kama mabilionea.

Yani jamii forum kila mtu ni tajiri aisee..
Alafu jamii forum Tabaka la chini ni wahitumu wenye degree ndio wanaonekana mabwege

Aisee ni hatari sana.
Mbona masaibu madogo hayo, nenda YouTube kaangalie masaibu ya NJUGUSH utakuja kukiri hapa😂😂
 
Hapana kabisa mkuu. Sijasema kwamba kuna mtu amewahi kukutangaza wewe kama wewe. Ila wapo watoto wanaotangaza ya huko hapa hadharani. Mkuu hapa hapatufai kabisa. Tuhamie PM bora
😁😁😁mimi nimekuelewa mkuu mbona
Haina haja ya PM
 
Back
Top Bottom