Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 11,685
- 20,733
Hamna watu wapo real kama members wa JF
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Umesahau pia JF wanaume wote tulioko humu tuki tomba tuna kojoa baada ya dk 40 nakuendelea
Na wanawake wa Jf hatujawahi kuliwa kimasihara .Umesahau pia JF wanaume wote tulioko humu tuki tomba tuna kojoa baada ya dk 40 nakuendelea
nyie ndo walozi humu 😂😂😂Sisi ndio wanga wa jukwaa au sio?
Na ukitaka kuamini onana nao face to face 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️Yaani miongoni mwa mitandao ya kijamii yenye impact kubwa kwenye jamii naweza kusema jamii forum ni no1.
Tatizo linaanzia kwa member wake..
Yani humu jamii forum bana kila mtu ana PHD.
Kila mtu ameshakwenda marekani Russia na Ukraine...
Yaani jamii forum kila mtu ana nyumba zaidi ya Moja na anaviwanja goba.
Yaani jamii forum kila mtu ana degree
Yani jamii forum kila mtu ana pesa Ila ajui afanye biashara Gani tena zaidi ya 100m
Yaani jamii forum kila mtu ni daktari na anajua kwa undani masuala ya afya
Kila mtu jamii forum ni mchambuzi wa kisiasa duniani
Yaani jamii forum kila mtu amewai kusafiri mikoa yote.
Kifupi jamii forum wajuaji ni wengi mtu unaweza kuhisi upo nyuma kimaendeleo kwa sababu watu wanaandika kama mabilionea.
Yani jamii forum kila mtu ni tajiri aisee..
Alafu jamii forum Tabaka la chini ni wahitumu wenye degree ndio wanaonekana mabwege
Aisee ni hatari sana.
Mkuu naomba niwe dereva wa Ile Prado yako[emoji23][emoji23] tuache bana… yan mtaani tuteseke,na jf nako tuteseke?Aah Mwaisa tuache tuushtue umaskini kjf jf…
Hujanielewa bado! Maudhui ya uzi tusiyaharibu tafadhali😁😁😁mimi nimekuelewa mkuu mbona
Haina haja ya PM
My Darlin.Mbona kama umekuja kunisema humu ndani mkuu😆😆😆😆
Ubaya ni kwamba mnaanza kubebishana wakati hamjuani una imagine tu yuko hivi wakati sivyo😆😆pole mkuu
Jitahidi utafute pisi kali kama wenzio
Hujanielewa bado! Maudhui ya uzi tusiyaharibu tafadhali
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Umesahau pia JF wanaume wote tulioko humu tuki tomba tuna kojoa baada ya dk 40 nakuendelea
My Darlin.
ushapata Degree ama bado?
Usimwage kuku kwenye mchele mkuu. Ukiitwa itikaaaaKumbe na sie tuna maudhui yetu tofauti ukiachana na ya huu uzi mkuu?
Kabla ya kazi nataka nikuoe.Ndio naipambania hapa mkuu
Nikiipata nije kuwaomba wenye migodi yao Geita kazi
Hauna kamgodi hata ka dhahabu mkuu?
Heeeeee 😁😁😁😁Kabla ya kazi nataka nikuoe.
Mambo ya migodi tutaanzisha wote from scratch