Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 7,941
- 14,720
Usichokijua member wengi wa jamii forum wa mwanzo mwanzo walijiunga wakiwa chuo thats 10 to 15 years ago kabla hawajaanza kuja changanyikeni. So tegemea hizo mbanga. Na kipindi inaanza ilikua maarufu na diaspora kuliko watu wa ndani......Yaani miongoni mwa mitandao ya kijamii yenye impact kubwa kwenye jamii naweza kusema jamii forum ni no1.
Tatizo linaanzia kwa member wake..
Yani humu jamii forum bana kila mtu ana PHD.
Kila mtu ameshakwenda marekani Russia na Ukraine...
Yaani jamii forum kila mtu ana nyumba zaidi ya Moja na anaviwanja goba.
Yaani jamii forum kila mtu ana degree
Yani jamii forum kila mtu ana pesa Ila ajui afanye biashara Gani tena zaidi ya 100m
Yaani jamii forum kila mtu ni daktari na anajua kwa undani masuala ya afya
Kila mtu jamii forum ni mchambuzi wa kisiasa duniani
Yaani jamii forum kila mtu amewai kusafiri mikoa yote.
Kifupi jamii forum wajuaji ni wengi mtu unaweza kuhisi upo nyuma kimaendeleo kwa sababu watu wanaandika kama mabilionea.
Yani jamii forum kila mtu ni tajiri aisee..
Alafu jamii forum Tabaka la chini ni wahitumu wenye degree ndio wanaonekana mabwege
Aisee ni hatari sana.
Sent from my itel S32LTE using JamiiForums mobile app
Siku hizi mpaka form 1 yupo jamii forum.